Mbinu za kukwepa gharama za mitandao

Wabongo Ni wapumbavu acha wanyooshwe
 
Kwa kipato chako utapunguza tu, kuacha huwezi.

Wale wenye kubangaiza mkono uende kinywani ndio watalazimika kuacha kutumia hizi huduma makato
 
Hakuna hii inaitwa nchi yetu trust me. CCM ndo wanaweza thubutu sema hivo ss wengine ni kama tenants tu. Kila kitu tunapangiwa na unaambiwa kama hukubaliani nenda kaishi huko unataka. Very sad
 
Tumieni bitcoins, kuna kijana anaitwa ontario ni mtaalamu wa hizo mambo[emoji205]
Unaweza kutuma bitcons kwa bibi kijijini.? Hapa wenye nchi wametukama pu**mbu tukae kimya wasije bana zaidi
 
Kwa kipato chako utapunguza tu, kuacha huwezi.

Wale wenye kubangaiza mkono uende kinywani ndio watalazimika kuacha kutumia hizi huduma makato
Ni kweli. Na mm najibana ili maumivu yapungua. Siku tukikubaliana kuwa sasa imetosha wote tutasimama kwa pamoja kudai katiba mpya. Sasa hivi tupigike kwanza hata ni suala la muda tu.
 
Ni kweli. Na mm najibana ili maumivu yapungua. Siku tukikubaliana kuwa sasa imetosha wote tutasimama kwa pamoja kudai katiba mpya. Sasa hivi tupigike kwanza hata ni suala la muda tu.
Wamemejisahau, wanakula na kipofu sasa wanamshika na mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…