Dah.. Kiongozi..hivi katiba mpya itatusaidiaje kwenye hili la tozo na kodi za miamala? Nauliza tu....[emoji2960]kufanikisha hili kwanza tunahitaji mabadiliko ya fikra halafu tuache na ubinafsi tuipiganie nchi kitu ambacho hatuna kila mtu anaangalia familia yake bila kuiangalia nchi kwa ukubwa kwa ajili ya vizazi vijavyo na hii ndio inapelekea umasikini kutokuisha na unatoka kizazi kimoja kwenda kingine.
maisha yetu ya sasa hayatotofautiana sana na maisha ya wanetu.
tushirikiane kudai KATIBA MPYA nchi ni yetu sote ,tuipende na kuipigania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watakuja na sheria huruhusiwi kuwa na laki tano 5 ukikutwa nayo miaka 5 jela
Ulishabikia bi kudemka sasa yamekuwa pesa mtungini? Hapa ni zero brain.Kuweka pesa mitungini RUKHSA!!!
Ulishabikia bi kudemka sasa yamekuwa pesa mtungini? Hapa ni zero brain.
Matokea ya kodi kubwa ni kutokuwa wajibikaji. Unakatwa hela ila kuna mtu mmoja anachukua billion 1 anampa demu wake.Dah.. Kiongozi..hivi katiba mpya itatusaidiaje kwenye hili la tozo na kodi za miamala? Nauliza tu....[emoji2960]
Mwelekeo mzuri gani wa kodi za dhuluma? ApologizeWacha ujinga wewe!!! Nilichoandika ni kwamba hotuba yake ya siku ya kuapishwa ilitoa matumaini ya mwelekeo mzuri kwa nchi. Muwe mnasoma kwa makini badala ya KUKURUPUKA na kupotosha kilichoandikwa.
Dah... Kiongozi...Sasa tatizo ni katiba mpya au uwajibikaji?Matokea ya kodi kubwa ni kutokuwa wajibikaji. Unakatwa hela ila kuna mtu mmoja anachukua billion 1 anampa demu wake.
Mtu anaamua kununua ndege 100 by cash without any feasibility study. Hela serikali inatoa wapi.
Katiba mpya ni suruhu kwa namna moja au nyingine
Mwelekeo mzuri gani wa kodi za dhuluma? Apologize
Katiba mpya ndo inatoa mwongozo wa kitaifa. Uwajibikaji ni pamoja na kuwa accountable kwa mambo ya kuumiza taifa. Mana huwezi enda kwa Raisi eti uwe mwajibikaji! Katiba says it all.Dah... Kiongozi...Sasa tatizo ni katiba mpya au uwajibikaji?
Ushauri mzuri kabisaBinafsi. Natumia mbinu zifuatazo
1.sipigi simu ovyo unless kuwe na ishu ya msingi
2. Situmi hela kabisa kwa mitandao pia itokee dharura sana.
3.luku sijui nini naenda kununua physically kwa wakala
4.Hi mambo ya simu banking nimetoa kabisa
5. Nikitaka 50,000 natoka 400,000 mpunga naweka home
6. Hapa yenyewe natumia wireless ya kazini nikitoka hapa hamnipati
No way. Bunge sasa ni la chama kimoja.
Nchi mtajenga wenzangu
Wenye mbinu mbadala tupeana
Ipo siku tuta-wachenjia hawataamini, faru zinashindwa kuwaka na risasi zinagoma kutoka.Watakuja na sheria huruhusiwi kuwa na laki tano 5 ukikutwa nayo miaka 5 jela
It sounds good.Nimeambiwa ukitaka kutoa una kwenda kwa Wakala na kumwambia atumiwe na Wakala mwenzake kama Float Yaani Unampa wakala Million yako na nduguyo anaisubiri kwa wakala mwingine ukimpa wakala Hata 5000 × 2 ni elfu 10 cash siyo mbaya Unaokoa 21,800.
Tupo Maabara bado wabongo wanatafuta Mbinu ya kukabiliana na changamoto hii[emoji16]
C&P.
Is this possible?Walisema kama Kodi ni 1000 Kwa mwezi, na hujatumia simu miezi 3, siku ukiweka bando Tu, elfu 3 lazma iondoke kwanza.
Siku mkikuta nyumba imeungua ndo mtajua hamjui.Sio lazima shimo hata chini ya kitanda yafaa