Mbinu za kupendwa na mademu wengi

Mbinu za kupendwa na mademu wengi

Aya tupe wewe mbinu za kupendwanna mademu wengi
Mbinu ni moja tu👇 hayo mengine ni ubatili
20220529_110721.jpg
 
Baada ya kushiba cha ya mikate hapo kwa shemeji yako na bando la kuomba kwa sistaako ndio umekuja huku kutusumbua.

Kwani jeshi mwaka huu hakuna?

#MaendeleoHayanaChama
 
Mgegede kwingine ili iweje, tulieni njia kuu
Sasa tunaachaje kugegeda kwengine wakati dhumuni la kutafuta pesa ni kupata kile kitobo alafu kama wewe unapenda muamala wapo na wannawake telennao wnapenda muamala....kwa nini mnakuwa wachoyo kwa wannawake wenzenu
 
Kizazi cha zinaa kinatafuta ishara,hakika nawaambieni hakitapewa ishara ila ya mwana wa Adam,kama vile Yona alivyokaa tumboni mwa nyangumi kwa siku tatu,vivyo hivyo mwana wa Adamu atakaa tumboni mwa ardhi.

Tubuni na kuiamini Injili mpate ondoleo la dhambi zenu.

Naipenda sana hii mistari.
 
Hii mbinu ndogo nakupa chukua uniletee mrejesho sawa?

Mademu sikufichi wanapendaga vitu vizuri sasa ili kuvutia mademu jitahidi uwe na vitu vizuri

Cha kwanza kabisa zingatia muonekano yani vaa sana vitu vikali hakikisha una pea zisizopungua tano za viatu vya gharama hamna hamna usivae kiatu cha chini ya elfu 50 kama huna pesa kabisa ni bora ule mlo mmoja kwa siku lakini uwe unavaa vizuri.

Usipende kuongea ongea hovyo yani we kuwa cool tu wenyewe watatafuta namna ya kuanzisha ukarubu na wewe
Hizo gharama utazotumia mwanzoni kujibrand kwa kuvaa nakuhakikishia zote zitarudi , mademu wanajua sana kuonga vitu vya gharama ili akupendezeshe uwe wa kwake peke yake.

Lakini yote tisa kumi hakikisha unato.m.ba vizuri na si mbaya kuna wengin.e wanapenda kule kwengine tafuna mzee baba maana demu sometime atakuwa anawashwa huko wa kumkuna hakuna na hatoweza kumwambia mtu asiyemuamini ila kama wewe upo hiyo fursa hiyo.
Itaendelea
...Kuwa Bado .toto ni Raha Sana! Ndio unayafahamu haya Leo...[emoji57]!
 
Back
Top Bottom