Mbinu za kupika sotojo / rosti la kitimoto, unaweza kula mpaka ujiume ulimi... Enjoy

Yaaani mbaya.....
Nimeitest Kwa picha...
Hajui rosti huyu
Hamna hiyo ni picha ya niliyoipika wiki 4 nyumaa... leo nimepika imekuwa safi zaidi... halafu mzikute nyie ndo hamjui kupika...

Mimi nikila chakula karoti na hoho huwa hazitakiwi kuiva sana ili zisipoteze vitamin.. ndo maana labda mnaona msosi hauvutii... ila ladha yake sio ya kawaida....kushinda hata kile wanapika cha kuuza
 
Ukimpata rosti la kazimoto pork.....utapiz wewe kama hiyo hapo unaona ni kazi kazi
Sawa mkuu... ila hiyo ni variety moja ... kuna ya mchicha pia nikipika ni hatari... kwenye mapishi nipo vizurii
 
Uzuri wa kitimoto hakinaga makeke mengi hata ukikosea kuipika bado taste yake haiwezi kufanana na kuku iliyopikwa kiufundi
Yaaani upo sahihi mkuu, ikishalainika tu kwa kuichemsha na kama uliweka limao basi inakuwa na taste nzuri..

Hapo ni kwenye mboga tu usikozee, lazima uienjoy
 
Shukrani mkuu, nitajitahidi next weekend nifanye haya mambo
 
Mzee kama haya maelekezo ndio yanazalisha hicho ambacho nakiona kwenye hio sahani hapo basi una safari ndefu sana katika tasnia ya rosti ya mdudu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…