Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Mlenda kuna wa majani , kuna wa bamia (waweza weka na ngogwe na nyanya kidogo), Kuna wa unga ambapo unavunwa maporini unakaushwa Na kutwangwa kwenye kinu kisha kuchekecha kupata unga.
Huo unga sasa unaunga ukisha chemsha maharagwe, kunde, mbaazi, machaga, ngwala, ndulele au ntula n.k.
Ni tamu usipime.
Hata ukiwa Na malaria hamu ya kula ikakata Kwa mlenda utakula ugali mpaka basi.
Ni appetizer nzuri hujapata kuona.
Na Kuna ule mlenda wa mkubugwa.
Huo ni ule wa haraka haraka faster wa kuweka Maji ya moto na unga tu labda na Ngogwe au nyanya.
Pia wengine hutumia wanapo ruzu.
Kwamba ameweza kupata unga uwezo wa kupata mboga hana na njaa imembana watoto wanalia njaa, mkubugwa unaandaliwa haraka.
Huo unga sasa unaunga ukisha chemsha maharagwe, kunde, mbaazi, machaga, ngwala, ndulele au ntula n.k.
Ni tamu usipime.
Hata ukiwa Na malaria hamu ya kula ikakata Kwa mlenda utakula ugali mpaka basi.
Ni appetizer nzuri hujapata kuona.
Na Kuna ule mlenda wa mkubugwa.
Huo ni ule wa haraka haraka faster wa kuweka Maji ya moto na unga tu labda na Ngogwe au nyanya.
Pia wengine hutumia wanapo ruzu.
Kwamba ameweza kupata unga uwezo wa kupata mboga hana na njaa imembana watoto wanalia njaa, mkubugwa unaandaliwa haraka.