SI KWELI Mboga za majani aina ya Chainizi husababisha upungufu wa Nguvu za kiume

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Nilitoa tangazo nyumbani kwangu kitambo sana... Sitaki kabisa kuona mboga ya chinese ikinunuliwa...
 
Siyapendi hayo majani aisee! Sidhani kama yanatatizo kiafya though!
Tembele, mchicha, majani ya maboga, kunde, maharage, mnafu, kisamvu na figiri hizo ndio mboga nizipendazo! Zipikwe kiasili saafi😋😋😋
 
Inauwa nguvu za kibaba 😂
 
Hivi ndiyo vitu napenda kuona kitu kinatolewa ufafanuzi unaoeleweka mi huwa nashangaa mtu anakimbilia tu kupunguza nguvu za kiume ukimuuliza kivipi kimya. Bravo
Kiloka Morogoro Hizo Mboga Tele
 
Aisee hii ni kweli!!?
Za dar nyingi ukiona sehemu wanapozilima utaghairi kula,,dar mboga za majani lima kwako kama huwez pata wale wanaolima kwao na unajua maji wanayotumia kumwagilia,,,,,,,,ila hizi za mtaani unakuta kuna bonde fulani lina maji machafu mengine hata kuna kemikali za ajabu viwanda vinamwagia kwenye hizo sehem ndo yanatumika hayo maji kumwagilia hizo mboga
 
Sio mboga hiyo ni chakula Cha mifugo kama nguruwe Haina tofauti na kabeji aka kaya maskini
 
Mimi pia naipenda Sana....Je Kwa upande Wa wanawake Ina madhara yoyote pia?
 
Vyakula vina sehemu yake, ila kikubwa waliishi muda mrefu kwa ajili ya kufanya kazi
 
Kaka iyo ni fake news mm nimekula iyo mboga miaka 20 Sasa na kwakweli sioni shida yoyote ni Imani za watu tuu Tena Wala chips ila si chainiz
 
Naichapa kwelikweli tena ichanganywe kwenye nyama.Nabondaa.
 
HIO sili MIMI mjegeja wangu sitaki upate tabu
 
Nimeipenda hii
 
saivi bila mbolea na makemikali mengine makali sana bado haujazalisha mboga yoyote.
Kama unajipenda ACHANA NA MBOGAMBOGA ZOTE sio Chinese tu.
Kuna watu wengi tu wanalimia kwa kutumia mbolea ya samadi na hawatumii chemicals. Siku za nyuma nilikuwa na na bustani ya mboga mbali mbali na nilikuwa situmii dawa zozote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…