Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

mkuu kuna madhara gani kula mayai ya kienyeji mbona sijawahi sikia boss?!


Mayai yote yakiliwa kupita kiasi yana madhara bila kujali kama ni ya kienyeji au yakisasa [emoji108][emoji108]

Siyo kwa kuwa ni ya kienyeji basi ndiyo mtu atifue anavyotaka la hasha!

Tena mayai ya kienyeji ndiyo yana nguvu zaidi kwa hiyo na hatari yaweza kuwa kubwa iwapo yataliwa bila kiasi.

Yai la kienyeji moja tu laweza tosha kwa wiki kutoa virutubisho vinavyotakiwa toka kwenye yai.

Sasa mtu anapokula mengi mara kwa mara huoni ni hatari kubwa ?

Mwili unamejengwa kwa uwiano kwa namna ajuavyo Mwenyezi Mungu mwenyewe.

Kila hitaji kwa kiasi , inapotokea vingine vikizidi mahitaji baada muda husababisha mwili udhaifu.
 
Nawaogopa sana wanaume ambao they can take a good care of themselves, wengi huchelewa kuoa ama wasioe kabisa..
Imagine juzi job kuna wakaka tulikuwa tunabishana nao bei ya nyanya sado..! [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16] noma sana...ila ndio wazuri bwana sio wasumbufu...unaweza kutoka kazini ukapita zako baa kupiga maji bila hofu maana unajua hata usipokuwepo watu watakula tu
 
Hiyo style ya pili ya mayai ndio naipenda pia, ila me huongeza vitu kama nyanyachungu au bilinganya.

Kupika inaweza isiwe ishu. Ishu vyombo aisee.
hivyo unavyoongeza nyanyachungu na biringanya sili kabsa yani.
 
Inadibidi tujue jinsi ya kujizuia na kuwa na kiasi.

Hata kama unapesa ya kununua trays za mayai lakini lazima ujue kujizuia [emoji108][emoji108]

Kitaalam inashauriwa mtu kula mayai 2-3 tu kwa wiki moja tena hasa sehemu nyeupe!

Sasa wabongo akijaliwa vijisenti kidogo basi atayatifua mayai mpaka basi!

Hata nyama vivyo hivyo n.k
Ulishawahi kusikia mtu amekufa kwa kula.mayai au nyama nyingi?

Acha kuendekeza umasikini.
 
Vyote hivyo nakorofisha pia hupenda nyama ya kukaanga kwa ugali pembeni kuna kachumbari pia prawns wa kukaanga lakini unaacha sosi kidogo hawa ni kwa wali. Sasa hivi niko kwenye zoezi kali sana la kujifunza kupika pilau. [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Mie pia sipendi kula nje nafanya hivyo mara moja moja sana.
Kula nje ni mtihani Sana. Niko radhi nipike lisaa lizima kuliko kula nje
 
sili wala sigusi wala kukaribia

hoho
nyanya chungu(ngogwe)
bamia (mlenda kwa ujumla)
biringanya

hizo vitu sigusi kabisa lakini naweza kupika kitu ambacho siwezi pika wala sitokaa nitake kupika ni mlenda,lakini hizo ngogwe,bamia,biringanya kichanganya pamoja ukapika ni mboga ambayo mama angu mzazi anaipenda sana kula na ugali.

ninapopata mgeni nyumbani nikipka dagaa huwa naweka ngogwe au biringanya lakini kwenye kula nampakulia vyote mgeni mimi nakula dagaa tupu.

napenda mboga zote za majani kasoro majani ya maboga (sijawahi yaelewa kila nikijahdi kuyaelewa inakataa)

Well... just fyi:

Mayai si mboga.

Dagaa si mboga.

Mtindi si mboga.
 
*Unawaogopa nini?? Au unamaanisha unawaonea huruma maana wanaweza kuishia kuwa mabachela?
Nawaogopa sana wanaume ambao they can take a good care of themselves, wengi huchelewa kuoa ama wasioe kabisa..
Imagine juzi job kuna wakaka tulikuwa tunabishana nao bei ya nyanya sado..! [emoji23] [emoji23]
 
Kwani mleta mada nikuulize chakula kikiwa cha asili ndipo kinaliwa tu bila kiasi?

Kiini cha yai kina protini nyingi na kali sana ambapo mtu akila mayai mengi mara kwa mara hujiweka katika hatari kiafya sababu hiyo hata kama life style yake inamruhusu bado kula kwa kiasi ni swala muhimu.

Protini inayoshauriwa kuliwa zaidi ni ile itokanayo na mimea jamii ya mikundekunde na siyo manyama na mayai.

Kiiini cha yai kina colestrol nyingi sana hivyo mayai yanapaswa kuliwa kwa kiasi kidogo sana hata kama ni ya kienyeji.
 
Hii ya yai nilikuwa sana nikiwa mwanafunzi. Ukikaanga vitunguu, hoho na nyanya acha viive kidogo. Unavunjia mayai mawili au matatu na kuyaacha kwanza. Yakiiva una Ona kabisa cheupe na njano wala havionekani kama uchafu.
 
Kupika najua ila muda na kampani ndo shida
kampani ya nini sasa? kwani kupika si unapka mwenyewe au unataka kampani wakati wa kula? kama ni wakati wa kula wewe uwe unapika vizuri kbsa then muda wakula ukifika niite nikupe kampani naweza kuja hata na wasaidizi wengine ukipenda.
 
zamani hizo nilinunua jiko la gesi ila niilikua nalitumia kuchemshia maji ya kuoga tu lkn baadae niliona ni ujinga nikaanza jifunza kupika na msosi wangu wakwanza pika ni CHIPS japo nilipika kau kau chipsi ila mwanzo mgumu.
Hilo mi nalipikia wali
 
Mayai yote yakiliwa kupita kiasi yana madhara bila kujali kama ni ya kienyeji au yakisasa [emoji108][emoji108]

Siyo kwa kuwa ni ya kienyeji basi ndiyo mtu atifue anavyotaka la hasha!

Tena mayai ya kienyeji ndiyo yana nguvu zaidi kwa hiyo na hatari yaweza kuwa kubwa iwapo yataliwa bila kiasi.
Asante mkuu kwa ushauri
 
[emoji16][emoji16][emoji16] noma sana...ila ndio wazuri bwana sio wasumbufu...unaweza kutoka kazini ukapita zako baa kupiga maji bila hofu maana unajua hata usipokuwepo watu watakula tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom