Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Dar hatari sana naupa namba 1 .Toto kali kila kona.Huku nilipo hamma kitu , unakuta mtoto mzuri mzuri ila miguu imepauka,mengine meusii yanaongezea na mavilemba juu .Shenzi taipu.
 
Hapo bado hujasimama nyuma ya msambwanda au kusuguliwa na K kwenye bega ukiwa umekaa siti ya pembeni kwenye daladala iliyojaa lazima mnara usome 5G
 
Magaidi hao sasa wewe jichanganye..Utarudi Newala kwenu ukiwa mwehu
 
Hao wote ni wa bandia sema ushamba ukiku
Wazuri bado hawajazaliwa utawazaa wewe, (the beautiful ones are not yet born)
Uliowaona siyo og,mila kitu hapo no mchina.Hata mbususu sao siyo og.Mwarabu anawafantusha potapot
 
Hao wote bila hela ni kama wazo la biashara, bila pesa utaishia kuwaona tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…