Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Naishi dah bhana 😂 Ila naendeleza uzi tuuUmekuwa bangi unaishi Arusha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naishi dah bhana 😂 Ila naendeleza uzi tuuUmekuwa bangi unaishi Arusha?
Kuna kademu uswahilini kwetu nlkuwa nakafukuzia, siku hy nikakanyaga waya vibaya 😂 eh bhana eeee kaliongea pale weeeeeee nikakimbia kabla umati haujafika 😂Wana midomo sana ila kwa uzuri wapo vizuri
Hao wa uswahilini wana hatari sana kwenye midomo yao, huwa hawaogopi kukujazia watu na wanapenda michezo hiyo sana.Kuna kademu uswahilini kwetu nlkuwa nakafukuzia, siku hy nikakanyaga waya vibaya 😂 eh bhana eeee kaliongea pale weeeeeee nikakimbia kabla umati haujafika 😂
utavunja shingo.Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Kwendraaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nasimama na ukweli, wazuri wa sura, tabia aah[emoji23]
Kwann? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahahaha daah sizani
😂 hata wewe ni mzuri, si ni mdada unaishi dar?Kwendraaa huko, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake wa uswahili hapana aisee, kitandani wachangamfu ila mdomoni hapana aiseeHao wa uswahilini wana hatari sana kwenye midomo yao, huwa hawaogopi kukujazia watu na wanapenda michezo hiyo sana.
Kitandani wanajua alafu wepesi kama vijora vyao, na ile miili yao ambayo haina mafuta sana 😋Wanawake wa uswahili hapana aisee, kitandani wachangamfu ila mdomoni hapana aisee
Uswahilini raha sana, ila usiingie kwenye 18 zao mbaya 😂Kitandani wanajua alafu wepesi kama vijora vyao, na ile miili yao ambayo haina mafuta sana 😋
Midomo tu ndio inaniwekaga mbali na ke wa uswahilini.Uswahilini raha sana, ila usiingie kwenye 18 zao mbaya 😂
Jitafutie mmoja afu usipende kumkera 😂 Ila vya uswahili akiwa hana nyama 🙌 dah bc tuu yn ndo bahati mbaya wanakuwa sio wife materialMidomo tu ndio inaniwekaga mbali na ke wa uswahilini.
Angalia usijegongwa na mwendokasi mkuu tafuta hela...Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Hapanaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata wewe ni mzuri, si ni mdada unaishi dar?
Wanapenda zogo hao ata usipomkera ataibua kero, na walivyo na wivu. Alafu wengi wao wanapenda sana waganga.Jitafutie mmoja afu usipende kumkera 😂 Ila vya uswahili akiwa hana nyama 🙌 dah bc tuu yn ndo bahati mbaya wanakuwa sio wife material
MuongoziHapanaaa!!![]()
![]()
![]()
![]()