Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Kuna kademu uswahilini kwetu nlkuwa nakafukuzia, siku hy nikakanyaga waya vibaya 😂 eh bhana eeee kaliongea pale weeeeeee nikakimbia kabla umati haujafika 😂
Hao wa uswahilini wana hatari sana kwenye midomo yao, huwa hawaogopi kukujazia watu na wanapenda michezo hiyo sana.
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
utavunja shingo.
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Angalia usijegongwa na mwendokasi mkuu tafuta hela...
 
Hapanaaa!!
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Muongozi
 
Back
Top Bottom