Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Kuna kademu uswahilini kwetu nlkuwa nakafukuzia, siku hy nikakanyaga waya vibaya πŸ˜‚ eh bhana eeee kaliongea pale weeeeeee nikakimbia kabla umati haujafika πŸ˜‚
Hao wa uswahilini wana hatari sana kwenye midomo yao, huwa hawaogopi kukujazia watu na wanapenda michezo hiyo sana.
 
utavunja shingo.
 
Angalia usijegongwa na mwendokasi mkuu tafuta hela...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…