Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

Mbona Dar kila mwanamke mzuri?

nakushauri sana usisahau malengo yaliyokupeleka Dar es salaam, usiwahau wazazi wako, ndugu zako na marafiki zako uliowaacha huko kusini.

Dar es salaam ni mkoa wa Starehe, hauna utamaduni wa kusaidiana kwenye shida,

usipokuwa makini unakufa peke yako kwa msongo wa mawazo na unaweza kujiingiza kwenye wizi, ujambazi au matumizi ya madawa ya kulevya.
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Rudi kusini mkuu kabla hujachelewa.
 
nakushauri sana usisahau malengo yaliyokupeleka Dar es salaam, usiwahau wazazi wako, ndugu zako na marafiki zako uliowaacha huko kusini.

Dar es salaam ni mkoa wa Starehe, hauna utamaduni wa kusaidiana kwenye shida,

usipokuwa makini unakufa peke yako kwa msongo wa mawazo na unaweza kujiingiza kwenye wizi, ujambazi au matumizi ya madawa ya kulevya.
Nimekupata mkuu nashkuru kwa ushauri mzuri
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Umemalizia vizuri,usihame piga mashine Ila tundu zao kubwa sana
 
nakushauri sana usisahau malengo yaliyokupeleka Dar es salaam, usiwahau wazazi wako, ndugu zako na marafiki zako uliowaacha huko kusini.

Dar es salaam ni mkoa wa Starehe, hauna utamaduni wa kusaidiana kwenye shida,

usipokuwa makini unakufa peke yako kwa msongo wa mawazo na unaweza kujiingiza kwenye wizi, ujambazi au matumizi ya madawa ya kulevya.
Ashike sana hapa!! Dar n km jehanamu, haina ushirikiano hata.
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
SIo wewe ndio fisi?
 
Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.

Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.

Haki ya nani na mimi sihami.
Wazuri bado hawajazaliwa utawazaa wewe, (the beautiful ones are not yet born)
 
Back
Top Bottom