Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
- Thread starter
- #41
kweli mkuu Dar ni mjini tofauti na bush nilipotokaUmeshasema ww ni mshamba! "Dar sio shambani"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli mkuu Dar ni mjini tofauti na bush nilipotokaUmeshasema ww ni mshamba! "Dar sio shambani"
Asante mkuuKaribu Dar mkuu
Huko babati ndio kwenyewe, rangi adimu, nywele za kumwaga, sura nzuri balaa..Sogea basi Babati
Kama wazuri nabususu wanatoa ubishi na ujuaji unanihusu nini mie mzee wa kugegeda na kusepaIla ni wazuri.
Sema wabishi, na ujuaji.
Rudi kusini mkuu kabla hujachelewa.Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Nimekupata mkuu nashkuru kwa ushauri mzurinakushauri sana usisahau malengo yaliyokupeleka Dar es salaam, usiwahau wazazi wako, ndugu zako na marafiki zako uliowaacha huko kusini.
Dar es salaam ni mkoa wa Starehe, hauna utamaduni wa kusaidiana kwenye shida,
usipokuwa makini unakufa peke yako kwa msongo wa mawazo na unaweza kujiingiza kwenye wizi, ujambazi au matumizi ya madawa ya kulevya.
Hahahah nakuPM weekend ukanitembezeMzeee naomba namba yako nikupeleke viwanja vyenye mademu hao n Wachache hata kwa juliana
Umemalizia vizuri,usihame piga mashine Ila tundu zao kubwa sanaDuuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Toka hapo Mlimani city nenda huko Tandika,Tandale uwanja wa fisi,Mbagala ndani ndani huko,
Kisha njoo uedit uzi wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mlimani City hao wana maokoto, maokoto yanasuuza damu ,mwili unanawiri.
Pita na sehemu zingine pia, ujionee..
Ashike sana hapa!! Dar n km jehanamu, haina ushirikiano hata.nakushauri sana usisahau malengo yaliyokupeleka Dar es salaam, usiwahau wazazi wako, ndugu zako na marafiki zako uliowaacha huko kusini.
Dar es salaam ni mkoa wa Starehe, hauna utamaduni wa kusaidiana kwenye shida,
usipokuwa makini unakufa peke yako kwa msongo wa mawazo na unaweza kujiingiza kwenye wizi, ujambazi au matumizi ya madawa ya kulevya.
We utakuwa mmoja wa warembo niliowaona leo kituoni ?Ashike sana hapa!! Dar n km jehanamu, haina ushirikiano hata.
SIo wewe ndio fisi?Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Hapana mkuuSIo wewe ndio fisi?
Ila weweHapo mlimani city pazuri sana unaangalia warembo wee ili baadae ukawapigie nyeto vizuri kabisa
Wazuri bado hawajazaliwa utawazaa wewe, (the beautiful ones are not yet born)Duuh! Wakuu ndio maana mnang'ang'ania kuishi Dar nimefika kwa mara ya kwanza juzi leo nipo kituoni hapa mlimani city kila mwananmke anayepita mzuri.
Najiuliza watu wa Dar wanawezaje kuishi huu mji maana ni hatari, mpaka dakika hii sijaona mwanamke mbaya wote ni moto wa kuotea mbali.
Haki ya nani na mimi sihami.
Haswaa na mie m1 wapoo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We utakuwa mmoja wa warembo niliowaona leo kituoni ?