Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Umenena vema, lakini hoja ni kwa nini vuguvugu la kudai Zanzibar huru limefifia?
Kwa maandiko yako mazuri, naamini unalo la kusema juu ya hoja hiyo...
Mie sioni kama zimekufa wala kufifia, kama mzanzibari msimamo wangu juu muungano uko pale pale. Sijawahi kuunga mkono wala kupenda muungano, wala sioni faida yake yoyote.

Naamini katika mashirikiano baina ya Tanganyika na Zanzibar, sawa na nchi nyengine yoyote ile kama Kenya, Uganda, Oman, Comorro n.k. Mashirikiano baina ya Zanzibar na taifa jengine lolote yasiathiri utambulisho wa mzanzibari wala utamaduni wake kama taifa huru.

Hakuna ulazima wa muungano baina ya nchi mbili hizo, zinaweza kushirikiana na kila moja ikafanya shughuli zake bila ya msuguano au muingiliano uliopo sasa ambao umekuwa kikwazo kama sio kisiki!
 
Mie sioni kama zimekufa wala kufifia, kama mzanzibari msimamo wangu juu muungano uko pale pale. Sijawahi kuunga mkono wala kupenda muungano, wala sioni faida yake yoyote...
Hoja yangu kama Mtanganyika ni kwamba hao wote uliowataja huwezi kuwatala.

Huwezi kuitawala Kenya, Uganda, Oman, Comorro, lakini Mzanzibari unaitawala Tanganyika.

Hakika huu Muungano haufai.
 
Unataka wadai uhuru gani ikiwa wanapata mgao wao mnono kwa mujibu wa makubaliano kutoka Tanganyika
Na kuongezea hapo kwa sasa wanatawala Tanganyika na Zanzibar ikulu zote 2 zao
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekua hawalizishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawai sema muungano ni kama koti likikubana unalivua...
Wasiwasi wangu awamu hii waki beep, tutapiga.
 
UAMSHO walikuwa ni raia wa kawaida tuu, sio wanasiasa kama unavyotaka kuamini. Moja ya sharti la kutoka kwao jela ni kutoendelea na harakati zilizowapeleka ndani...
Huyu Samia wenu atasaidia sana kuwapa uhuru, sababu tumemchoka mnaweza kumchukua na mkasepa wote.
 
Hoja yangu kama Mtanganyika ni kwamba hao wote uliowataja huwezi kuwatala.
Huwezi kuitawala Kenya, Uganda, Oman, Comorro, lakini Mzanzibari unaitawala Tanganyika.
Hakika huu Muungano haufai.
Anzisheni tuu na nyie harakati za kudai Tanganyika, tugawane mbawa yaishe. Motivation za kuundwa kwa muungano vugu-vugu la kiafrika sidhani kama hii concept inaingia akilini kwa sasa.
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekua hawalizishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawai sema muungano ni kama koti likikubana unalivua...
Anayetawala ni Mzanzibar mwenzao ana anachukua pesa bara zinaenda Zanzibar
 
Tatizo kubwa la wazanzibari ni ELIMU ELIMU ELIMU
Tatizo kubwa la Watanganyika ELIMU feki feki feki wanaingozwa kwa vyeti feki dadadeki na ndio maana Ancle Magu R.I.P aliwakalisha
na mivyeti yenu feki nini wasomi njaaa
 
Wazanzibari wengi ni watu wanapenda kulalamika sana, huhisi wao ndio wanaonewa kila uchao.

Ila kwa sababu sasa hivi maraisi wote ni wao wa pande zote wanapna wakilalamika itakuwa aibu kwao kwa sababu mipini wameshika wao.

Mama samia anawajua uzuri watu wa Zanzibar
Mkuu upuuzi ni yaliyo kwenye muungano. Pammoja Mwalimu Nyerere kuwa mtu mahili kwa mambo ya utawala na siasa ila aliboronga sana kwenye mkataba wa muungano.

Akaiua Tanganyika akaipaza Zanzibar kinafiki,akashindwa kuuvunja muungano huo na kuunda shirikusho.

Zanzibar mara zote wanataka serikali tatu,bara wao wanacheza pachanga kila akiwepo mtawala kutoka Zenj.

Hatuna uhakika kwanini watawala wa bara wanagangania serikali mbili.
 
Huu muungano fake uvunjwe haraka
Tena haraka sanaaa ata sijui yule kambarage alilishwa maharagwe ya wapi kutuletea Dudu ili Litanganyika
tena ukivunjwa hatutaki kuwaona nyinyi muflis wa nasfsi mbaki huko huko mchinjane na kukabana na kuchunana ngozi vizuri wachenzi type.
 
Sasa hv wanatawala kote kote wapige kelele za nini?

Chao ni chao....na chetu pia ni chao
Nyie mmetawala miaka mingapi iyo Mzenji kupata mara moja imekuwa jao ... mnaroho mbaya kuliko kunguru.
 
Zanzibar haitawaliwi na Taifa la kigeni, kwa hiyo hakuna sababu ya kupigana
 
Tena haraka sanaaa ata sijui yule kambarage alilishwa maharagwe ya wapi kutuletea Dudu ili Litanganyika
tena ukivunjwa hatutaki kuwaona nyinyi muflis wa nasfsi mbaki huko huko mchinjane na kukabana na kuchunana ngozi vizuri wachenzi type.
Ole wenu mje huku
 
Huwezi kusikia kelele kwa mabilioni ya mgao unaotolewa kupitia mikopo inayochukuliwa kwa mgongo wa Tanganyika iliyofichwa kwenye jina la Tanzania.....
 
Back
Top Bottom