Sheikh kuwa mkweli... checkpoints ni kwa ajili ya usalama tu...hata huku bara hizo checkpoints zipo.Watu tunaishi kama tuko kwenye open-air prison (check-points kila 5km) halafu unakuja na hoja za vitunguu ? Hata Palestine chini ya Israel hawana checkpoints nyingi kama Zanzibar.
Matusi ya nini?Kaf*rangane na mamaako
Katika Tigo yako
Hata waizrail wanasema hivo hivo ni kwa ajili ya usalama. Unasifiri kutoka Dar hadi Moshi hakuna check-point hata moja, wakati Zanzibar unasafiri Town hadi Nungwi (30-40km) checkpoins atleast 4!Sheikh kuwa mkweli... checkpoints ni kwa ajili ya usalama tu...hata huku bara hizo checkpoints zipo.
Waliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Siku tukitawala tena zile kelele za uhuru muache. Kumbe huwa siyo kelele za kutaka uhuru huwa mnataka madarakaNyie mmetawala miaka mingapi iyo Mzenji kupata mara moja imekuwa jao ... mnaroho mbaya kuliko kunguru.
Achana nalo fanya maisha mengineKwanini huwa mnafeli sana mitihani? Hili swali nauliza huu mwaka wa 10 sijapata jibu
Boss hanuniwi.....usiwachukie wasomi shekhe hata kama uliishia darasa la madrassa BTatizo kubwa la Watanganyika ELIMU feki feki feki wanaingozwa kwa vyeti feki dadadeki na ndio maana Ancle Magu R.I.P aliwakalisha
na mivyeti yenu feki nini wasomi njaaa
Nani? kafanya nini? kakariri quran yote au?Juzi tu wamechukua Tuzo ya Nobel.
HapanaNani? kafanya nini? kakariri quran yote au?
HII NI MIEZI 8 Ilopita. Subirini Msiwe na harakaKwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.
Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.
Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!
Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.
Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.
MUUNGANO UDUMU MILELE.
SWALITatizo kubwa la Wazanzibari ni ELIMU ELIMU ELIMU
wewe kiazi ndio umeandika nini ? ujinga mzigo kweli kweliBoss hanuniwi.....usiwachukie wasomi shekhe hata kama uliishia darasa la madrassa B
Hivi unaweza kupata madaraka bila kuwa huru.Siku tukitawala tena zile kelele za uhuru muache. Kumbe huwa siyo kelele za kutaka uhuru huwa mnataka madaraka
Kwa nini isiwezekane?Hivi unaweza kupata madaraka bila kuwa huru.
Ni elimu gani sio ELIMU NGANI....Jifunze kwanza matumizi ya herufi kubwa na ndogo inaonekana chekechea hukumaliza vizuriSWALI
ELIMU NGANI Watanganyika Wamewazidi Wazanzibar.
Eti elimu 🤣🤣🤣 ndio kwanza Samia anawajengea madarasa ya primary schools na matundu ya vyoo Duh