Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Mimi nilikuwa naomba tupate muda at least wa miaka mitano ya mpito tutengane tujitafakari upya ili tukirudi tukae mezani vzr
 
wakati unahoji kwanini hawalalamiki wakati huu tafuta majibu kwanini walilalamika wakati ule.
Methali: ukimtupia mtu mchanga jichoni machozi yatamtoka lakini ukimtupia punje za karanga atazitafuna taratibu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…