Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.
Walikuwa wanadai kero za muungano ambazo haziishi ila awamu ya mama zinamalizwa fastafasta

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana
Kwani hujui kuwa Zanzibar inatawala Tanganyika katika awamu hii
 
UAMSHO walikuwa ni raia wa kawaida tuu, sio wanasiasa kama unavyotaka kuamini. Moja ya sharti la kutoka kwao jela ni kutoendelea na harakati zilizowapeleka ndani.

Naona kama unataka kuwalisha maneno wazanzibari. Hio ardhi na vitunguu maji ndio umeona hoja ya wazanzibari waridhike na kupoteza utambulisho wao ? Ni kweli wanapenda urojo na viazi (potatoes) vinahitajika na vinatoka Tanganyika, lakini sidhani kama ukivunjika muungano ndio wakulima wa Tanganyika watasusa kufanya biashara!

Kama muungano una faida na unahitajika hakuna cha kuogopa ni kupeleka kura ya maoni tuu ili wananchi wauridhie. Nchi nyingi zenye kujiamini zilishafanya hivyo mfano Ugiriki iliuza wananchi wake na wakakubali kuendelea na muungano wa ulaya.

Kama faida ni nyingi basi hakuna shida hio kaka, lakini naona kama unajitekenya na kujifurahisha. Iko wazi Tanganyika ndio anapeta na Nyerere ndio amelazimisha. Watu tunaishi kama tuko kwenye open-air prison (check-points kila 5km) halafu unakuja na hoja za vitunguu ? Hata Palestine chini ya Israel hawana checkpoints nyingi kama Zanzibar.
Kipindi cha Magufuli lilikuwepo pia? Nadhani tangu UAMSHO wamepewa kesi ya UGAIDI hii movement ndani ya nchi ilipungua sana. Mleta mada huenda umeileta sasa hivi kwa kuwa Rais ni mzenji lakini sio kweli kuwa zimepungua kelele kipindi hiki tu.
 
CCM wanasema wanalinda huo wanaouita muungano kwa gharama yoyote. Kwa mantiki hiyo watafilisika muda si mrefu. Nchi fukara kama Tanzania haiwezi kukaa nchi vamizi milele. Ufaransa ilivamia Algeria ikabaki karibu miaka 140, lakini mwishowe ilishindwa majeshi yake yakatimuliwa. Marekani ilivamia Afghanistan ikakaa miaka 20, mwishowe ilishindwa majeshi yao yalitimuliwa. Majeshi ya vamizi Zanzibar hayawezi kubaki muda mrefu.
Jipe moyo..

#MaendeleoHayanaChama
 
CCM wanasema wanalinda huo wanaouita muungano kwa gharama yoyote. Kwa mantiki hiyo watafilisika muda si mrefu. Nchi fukara kama Tanzania haiwezi kukaa nchi vamizi milele. Ufaransa ilivamia Algeria ikabaki karibu miaka 140, lakini mwishowe ilishindwa majeshi yake yakatimuliwa. Marekani ilivamia Afghanistan ikakaa miaka 20, mwishowe ilishindwa majeshi yao yalitimuliwa. Majeshi ya vamizi Zanzibar hayawezi kubaki muda mrefu.
Jipe moyo..

#MaendeleoHayanaChama
 
Chakula kipo mdomoni kikishaisha wanaanza kubweka tena
 
Sasa hivi Waanzibar wanakula mema ya nchi, imagine mama ameenda kutembelea France yuko na katibu mkuu wandamizi wa Zanzibar na Tanzania, mwinyi anaitengeneza Zanzibar mama anakamilisha, Wazanzibar wamelizika.
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.
Chifu Hangaya anawamwagia mijipesa lukuki Wazanzibari wapige kelele za nini tena?
 
Sasa hivi Waanzibar wanakula mema ya nchi, imagine mama ameenda kutembelea France yuko na katibu mkuu wandamizi wa Zanzibar na Tanzania, mwinyi anaitengeneza Zanzibar mama anakamilisha, Wazanzibar wamelizika.

Wazanzibari hawawezi kula mema ya nchi mpaka hapo watapokuwa huru kutokana Na makucha ya Mkoloni Tanganyika.
 
Wewe mkuu huna ilmu....Soma quran sura ya mbuzi mstari wa 112 utaona tusi lipo wapi hapo

Biblia umeimaliza


Padri mwenye ilimu Soma hapa

wjd-billboard-born-gay.jpg
 
Back
Top Bottom