February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
TakbiirNilisahau, Pia kayakubali maneno ya Issa mwenyewe kuwa Mungu Wake ni Ałlah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TakbiirNilisahau, Pia kayakubali maneno ya Issa mwenyewe kuwa Mungu Wake ni Ałlah
weye ndio nini? kiswahili hiki?Ulimzaa Weye?
Ndiyo lugha unayoifahamuweye ndio nini? kiswahili hiki?
Acha matusi sasa, sasa na Tanganyika wanapenda wa..aalifu ? Umejifundisha wapi lugha hii ya ualifu ?Nadhani Zanzibar ni uchochoro wa kutenda ualifu. Hivi CAG wakule huwa ni nani??
Tuheshimiane bwana mimi sijui lugha za mashoga wa zenjiNdiyo lugha unayoifahamu
Tuheshimiane bwana mimi sijui lugha za mashoga wa zenji
Hizi ndizo tafdisa tunazohitaji ha JF. Asante sana!Sio tabia nzuri kuongea ukiwa na chakula mdomoni
Alieniambia mimi kuwa wewe ni shoga ni weweKwani nani Alikuambia wewe ni shoga?
Kwa hiyo unataka Mzanzibari Adai Zanzibar huru toka kwa mzanzibari?Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.
Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.
Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!
Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.
Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.
MUUNGANO UDUMU MILELE.
Alieniambia mimi kuwa wewe ni shoga ni wewe
Hao wengine mpaka Leo wanawaomba wabunge wao wapeleke pombe, Hivi kweli wanaweza kufanya kituSasa ni wakati wenu wabara mudai haki zenu sie tushachoka yaheeee,
Unaweza kuwa
Jibu swaliUnaweza kuwa
Tatizo bara mkiwa madarakani mnawabania sana,, yaani mikopo yote mnatumia kwenu tu, misaada yote,,,Waliokuwa wanapiga kelele sasa hivi wako mezani
Sasa kama unaweza mimi nitajuaje kama wewe ndiye aau sie?? mi nakujua wewe?Jibu swali
Kwani Mimi ni Yesu?
Sijauliza kwani Mimi naweza kuwa Yesu ?
Wabara tumekwama sana , kwanza mwaka 67 watu walitaifishwa nyumba zao, bila sababu kosa lao walikua, matajiriSasa unataka wadai uhuru gani wakati nchi inatawaliwa na wazanzibari, subiri siku akitawala mbara ndio wataanza harakati upya tena
kwani nilikuuliza kama unanijua ??? soma niliandika ninisasa kama unaweza mimi nitajuaje kama wewe ndiye aau sie?? mi nakujua wewe?
hii ni laanaWabara tumekwama sana , kwanza mwaka 67 watu walitaifishwa nyumba zao, bila sababu kosa lao walikua, matajiri
Pili 84,watu wenye ukwasi wakapata heka heka eti walanguzi
Bado kina Bashite, sabaya wakawa wanawapora watu wenye utajiri,, eti wanafanya money laundry,,
Kiufupi wabara hatuna ustaarabu wa uongozi, kwa walio wengi
Tujisahihishe,, tuache roho mbaya na ubinafsi[emoji3][emoji3]