Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

Mbona harakati za kuidai Zanzibar huru ni kama zimekufa awamu hii?

hapana...mimi sisomagi dini zisizonihusu

Ni kweli ,Soma hii inayokuhusu

images-3.jpg
 
Wazanzibari wengi ni watu wanapenda kulalamika sana, huhisi wao ndio wanaonewa kila uchao.

Ila kwa sababu sasa hivi maraisi wote ni wao wa pande zote wanapna wakilalamika itakuwa aibu kwao kwa sababu mipini wameshika wao.

Mama samia anawajua uzuri watu wa Zanzibar
Nature ya uislam kulalamika sana.
 
Ndivyo ulivyoambiwa kanisani Na mchungaji wako
Nikijua utakuja, nikawa nimeshika simu mkononi kusoma ujumbe wako. Kujibu haraka hivi pia ni ushahidi wa tabia hiyo. Ningeshangaa kama nisingejibiwa.

Wakilalamika kidogo bila kusikilizwa, huingia barabarani na mapanga, au bunduki au kujitoa muhanga au kutenga mabomu.

Jamaa zangu wa Mashariki ya kati ndo wako hivo siyo wewe mwislam kanzu hata msikitini hukujui hadi Idd.
 
Nikijua utakuja, nikawa nimeshika simu mkononi kusoma ujumbe wako. Kujibu haraka hivi pia ni ushahidi wa tabia hiyo. Ningeshangaa kama nisingejibiwa.

Wakilalamika kidogo bila kusikilizwa, huingia barabarani na mapanga, au bunduki au kujitoa muhanga au kutenga mabomu.

Jamaa zangu wa Mashariki ya kati ndo wako hivo siyo wewe mwislam kanzu hata msikitini hukujui hadi Idd.

Hata Mimi nilijuwa utakuja Na umejibu haraka sana , isipokuwa nyani haoni kundule

Ni kwa sababu huonyeshwi yanatokea mitaani Marekani Na London au mitaa ya nchi Za magharibi. Hayo yanatokea Canada hivi Sasa huonyeshwi katu wala huambiwi. Usisahau Ya mrusi Na Ukraina labda nao ni waislamu . Au yaliyotokea South Africa , South Sudan,Congo ,Central Afrika , Cameron nk Na hayo aliyotufanyia Nyerere , Mkapa Na Jiwe labda unayajua
 
Ukiwa unasokota kitu cha arusha unatakiwa uwe unavitoa vile vitunda tunda....hivyo ndo vinakufanya unakuwa kama umerukwa akili

Wewe ikiwa unakula ugali ,mboga kitu cha arusha unakichanganya Na kitu cha Chato matokeo yake ndio haya
 
Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.

Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.

Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!

Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.

Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.

MUUNGANO UDUMU MILELE.
Sasa hivi wanatawala bara na visiwani. Wanatumia bara kuijenga zenji.
 
Wazanzibari hawawezi kula mema ya nchi mpaka hapo watapokuwa huru kutokana Na makucha ya Mkoloni Tanganyika.
Mbona hamueleweki kwani kwa sasa hii nchi mbona inaongozwa na wanzanzibar nini tena mnataka, sisi Tanganyika ndio tunataka nchi yetu
 
Mikopo tunayokopa Tanganyika inapelekwa Zanzibar, nani atadai uhuru unadhani?
 
Back
Top Bottom