February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
hapana...mimi sisomagi dini zisizonihusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana...mimi sisomagi dini zisizonihusu
hapana...mimi sisomagi dini zisizonihusu
ipi hiyo? sioni attachments
Nature ya uislam kulalamika sana.Wazanzibari wengi ni watu wanapenda kulalamika sana, huhisi wao ndio wanaonewa kila uchao.
Ila kwa sababu sasa hivi maraisi wote ni wao wa pande zote wanapna wakilalamika itakuwa aibu kwao kwa sababu mipini wameshika wao.
Mama samia anawajua uzuri watu wa Zanzibar
Ndivyo ulivyoambiwa kanisani Na mchungaji wakoNature ya uislam kulalamika sana.
Nikijua utakuja, nikawa nimeshika simu mkononi kusoma ujumbe wako. Kujibu haraka hivi pia ni ushahidi wa tabia hiyo. Ningeshangaa kama nisingejibiwa.Ndivyo ulivyoambiwa kanisani Na mchungaji wako
hapo sasa hata ile see attachments siioni....umekunywa pombe leo?
Nikijua utakuja, nikawa nimeshika simu mkononi kusoma ujumbe wako. Kujibu haraka hivi pia ni ushahidi wa tabia hiyo. Ningeshangaa kama nisingejibiwa.
Wakilalamika kidogo bila kusikilizwa, huingia barabarani na mapanga, au bunduki au kujitoa muhanga au kutenga mabomu.
Jamaa zangu wa Mashariki ya kati ndo wako hivo siyo wewe mwislam kanzu hata msikitini hukujui hadi Idd.
hapo sasa hata ile see attachments siioni....umekunywa pombe leo?
Ukiwa unasokota kitu cha arusha unatakiwa uwe unavitoa vile vitunda tunda....hivyo ndo vinakufanya unakuwa kama umerukwa akili
Ukiwa unasokota kitu cha arusha unatakiwa uwe unavitoa vile vitunda tunda....hivyo ndo vinakufanya unakuwa kama umerukwa akili
Sasa hivi wanatawala bara na visiwani. Wanatumia bara kuijenga zenji.Kwa muda mrefu tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar hawa ndugu zetu kutoka Zanzibar wamekuwa hawaridhishwi na huu muungano, inasemakena hadi Rais wa kwanza wa Zanzibar alishawahi sema muungano ni kama koti likikubana unalivua.
Pia nakumbuka awamu ya 4, Rais akiwa Kikwete kuliibuka wimbi kubwa sana la wanaharakati kutoka Zanzibar wakiongozwa na jumuia ya UAMUSHO wakidai Zanzibar inatakiwa kuwa huru eti kisa viongozi wao wanachaguliwa kutoka Tanganyika.
Lakini jambo la ajabu awamu hii ya sita ni kama hakuna tena hizi harakati za kuvunja muungano wetu mtukufu sasa najiuliza je, shida ilikuwa nini kwa hizi harakati na imekuaje awamu hii zisisikike tena? Au ulikuwa ni unafiki tu wa wanasiasa na sasa hivi wameona huu muungano unawanufaisha na wao!
Kwa mtazamo wangu muungano huu Zanzibar ndiyo wana manufaa kuliko Watanganyika hivyo wanapaswa kuupigania ili uendelee na wao wazidi kunufaika.
Mzanzibar ana haki ya kumiliki ardhi Tanganyika wakati Mtanganyika hana hiyo haki Zanzibar. Je, nani hapo ananufaika? Nawaomba tena Wanzanzibar waache unafiki huu muungano wao ndiyo wanufaika.
MUUNGANO UDUMU MILELE.
Sasa hivi wanatawala bara na visiwani. Wanatumia bara kuijenga zenji.
Hizo ni factNdivyo unavyodanganywa Lumumba ?
Hizo ni fact
Mbona hamueleweki kwani kwa sasa hii nchi mbona inaongozwa na wanzanzibar nini tena mnataka, sisi Tanganyika ndio tunataka nchi yetuWazanzibari hawawezi kula mema ya nchi mpaka hapo watapokuwa huru kutokana Na makucha ya Mkoloni Tanganyika.
Yaani Kijana wa Mkuranga unamwita mzanzibari?Mbona hamueleweki kwani kwa sasa hii nchi mbona inaongozwa na wanzanzibar nini tena mnataka, sisi Tanganyika ndio tunataka nchi yetu
wewe unalia chooni na bangi unaivutia matak*ni,,,,matokeo yake ndo hayaWewe ikiwa unakula ugali ,mboga kitu cha arusha unakichanganya Na kitu cha Chato matokeo yake ndio haya