Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndicho kizazi kilichopo mkuu.Watu wanapenda mambo ya uongo uongo sanaaa.. [emoji3][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndicho kizazi kilichopo mkuu.Watu wanapenda mambo ya uongo uongo sanaaa.. [emoji3][emoji3][emoji3]
Hata Joketi?Hata Anjela Kataharuki?
Anhaa apo nimekuelewa.Kwny kikao cha mawaziri, makatibu wakuu wa wizara au seniors wengine wowote hua wanakuwepo iwapo watahitajika kikaoni mkuu.
Kigogo tupe nondo jamani ushauri wangu tumuulize kigogo ni maswali rahisi kwake
Katibu mkuu wa wizara anaingiaje kwenye kikao cha Baraza la mawaziri ?Wkt juzi alikua kwny kikao cha mawaziri kilichoitishwa na mama Samia.
Kwny kikao cha mawaziri, makatibu wakuu wa wizara au seniors wengine wowote hua wanakuwepo iwapo watahitajika kikaoni mkuu.Katibu mkuu wa wizara anaingiaje kwenye kikao cha Baraza la mawaziri ?
Msigwa alikuwa Dodoma juzi nenda kwenye Twitter yakeJamani toka tuanze maombolezo na shughuli nzima za kuaga Mwili wa Mh.JPM sijawaona kabisa viongozi wafuatao
1.Mh.Lowasa...Waziri mkuu mstaafu
2.Mbowe Freeman..Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.
3.Mh.Peter Msigwa.Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati.JPM. lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM
kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipind hiki kipya kwa Taifa letu.Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space
Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.
Huyu nafikiri atakuwa amezimia kabisa. Ni wa kukamata na kufunga mara moja kwa ufisadi.Dotto James-Katibu mkuu Hazina
Sawaa Mkalimanii[emoji3577]Good replay
Watu mnapenda kuunganisha dotMuulize January Makamba aka kigogo habari zote anazo
Pengine hawakupata kadi za mwaliko!!Jamani toka tuanze maombolezo na shughuli nzima za kuaga Mwili wa Mh.JPM sijawaona kabisa viongozi wafuatao
1. Mh. Lowassa-Waziri Mkuu Mstaafu
2.Mbowe Freeman - Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk Serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.
3. Peter Msigwa - Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati JPM, lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM
Kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipindi hiki kipya kwa Taifa letu. Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space
Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.