Mbona hawa Sijawaona Msibani?

Mbona hawa Sijawaona Msibani?

Jamani toka tuanze maombolezo na shughuli nzima za kuaga Mwili wa Mh.JPM sijawaona kabisa viongozi wafuatao

1. Mh. Lowassa-Waziri Mkuu Mstaafu

2.Mbowe Freeman - Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk Serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.

3. Peter Msigwa - Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati JPM, lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM

Kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipindi hiki kipya kwa Taifa letu. Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space

Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.
Lowasa bana kuna za chini chini
 
Lowassa haendi anajua afya yake maambukizi ya corona nje nje
 
Nilizonazo ni kuwa huyu jamaa yupo Ndichi ananyea debe
Sio kwa viongozi hawa!!!kama mambo ya chama yasingekuwa yanapewa kipaumbele, muda huu tungeshuhudia mengi sana, na wateule wa wengi wa meko wangelia na kusaga meno, na hao wanyonge wasingeamini kuwa heee, kumbe upigaji tena mkubwa sana ulikuwa unaendelea nchini?ila kwa wateule wachache tu., na brigedia(meko)ma nyota yote wangemtoa na kuwa mgambo!!!
 
Hapana.
Hicho kitu hakiwezekani daima.
Kikao cha baraza la mawaziri ni kikao cha kikatiba, kama katiba haijasema wewe kuwa mjumbe wa hicho kikao maana hakuna nafasi ya kuingia.

Makatibu wakuu, manaibu waziri na taka taka nyingine zozote hawawezi kuhudhuria kikao cha baraza la mawaziri.
Ukiwa muongo, jitahidi uwe na uelewa wa mambo muhimu. Tokea lini katibu mkuu akahudhuria kikao cha mawaziri?
Wewe ndiye muongo, tangu lini makatibu wakuu wakaingia kikao cha baraza la mawaziri? Kumbuka hata manaibu waziri hawaingii...
Hawaingii kikaoni hebu acheni uzushi banaa... Hata bungeni wanaenda but wanakuwa nje huko in case kunahitajika clarification but siyo kuingia bungeni...
Alihudhuria, kwa nini alihudhuria hiyo sio kazi yangu
Picha hiyo hapo
Kama humjui ni huyo pembeni ukutani upande wa kushoto(wa tatu)
View attachment 1734361
Kwa mnaobisha Doto hakuingia kikaoni basi tufanye huyo hapo pichani ni muwe wenu.
 
Kila mtu ana sababu zake za kufika au kutofika Msiban

Hata Mandela pamoja na kusaidiwa kote na Nyerere hakuhudhuria Msiba wa Nyerere na hata Milton Obote Rais wa Uganda alietolewa na Iddy Amin tukaingiza Nchi vitani kumrejesha yeye hakuhudhuria wala kutuma salam za pole

Hata Marehem Mwamba JPM hakuhudhuria misiba mingi ya Wazito wenzie wala kutuma salam kuanzia msiba wa Kingunge, kina Iddy Simba n.k

So Mtu muhimu kwako sio lazima awe muhimu kwa mwingine

Kuna watu wanahoji mbona Baniani hawajaja msiban lakin tunasahau walipofiwa na 'Magufuli wao' Subash Patel, Magufuli wetu hakwenda Msiban wala kutoa pole
 
Back
Top Bottom