Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Toka lini mkuu?Nilizonazo ni kuwa huyu jamaa yupo Ndichi ananyea debe
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka lini mkuu?Nilizonazo ni kuwa huyu jamaa yupo Ndichi ananyea debe
Mleta mada mkuu ni punguani! Eti hii hakuiona!
Lowasa bana kuna za chini chiniJamani toka tuanze maombolezo na shughuli nzima za kuaga Mwili wa Mh.JPM sijawaona kabisa viongozi wafuatao
1. Mh. Lowassa-Waziri Mkuu Mstaafu
2.Mbowe Freeman - Aliyekuwa Kiongozi rasmi wa kambi ya upinzani Bungeni ktk Serikali ya Hayati ya kipindi cha miaka 4 ya kwanza.
3. Peter Msigwa - Aliyekuwa Mbunge katika kipindi cha awamu ya miaka 5 ya utawala wa Hayati JPM, lakini kipekee huyu pia ndugu wa karibu wa Hayati JPM
Kwangu hao niliwatarajia kuwaoana na kuwasikia kwa chochote ktk kipindi hiki kipya kwa Taifa letu. Labda tuwalaumu media kwamba hawajapa space
Ongeza na wewe wengine ambao ulitegemea uwe umeshawaona au kuwasikia.
Unahisi au amethibitisha hivyo?Lowassa haendi anajua afya yake maambukizi ya corona nje nje
Mark my wordsUnahisi au amethibitisha hivyo?
Sio kwa viongozi hawa!!!kama mambo ya chama yasingekuwa yanapewa kipaumbele, muda huu tungeshuhudia mengi sana, na wateule wa wengi wa meko wangelia na kusaga meno, na hao wanyonge wasingeamini kuwa heee, kumbe upigaji tena mkubwa sana ulikuwa unaendelea nchini?ila kwa wateule wachache tu., na brigedia(meko)ma nyota yote wangemtoa na kuwa mgambo!!!Nilizonazo ni kuwa huyu jamaa yupo Ndichi ananyea debe
Umevuta cha wapi mkuu ? Au umekosea kuni quote ?Wewe ndiye muongo, tangu lini makatibu wakuu wakaingia kikao cha baraza la mawaziri? Kumbuka hata manaibu waziri hawaingii...
Hapana.
Hicho kitu hakiwezekani daima.
Kikao cha baraza la mawaziri ni kikao cha kikatiba, kama katiba haijasema wewe kuwa mjumbe wa hicho kikao maana hakuna nafasi ya kuingia.
Makatibu wakuu, manaibu waziri na taka taka nyingine zozote hawawezi kuhudhuria kikao cha baraza la mawaziri.
Ukiwa muongo, jitahidi uwe na uelewa wa mambo muhimu. Tokea lini katibu mkuu akahudhuria kikao cha mawaziri?
Wewe ndiye muongo, tangu lini makatibu wakuu wakaingia kikao cha baraza la mawaziri? Kumbuka hata manaibu waziri hawaingii...
Hawaingii kikaoni hebu acheni uzushi banaa... Hata bungeni wanaenda but wanakuwa nje huko in case kunahitajika clarification but siyo kuingia bungeni...
Kwa mnaobisha Doto hakuingia kikaoni basi tufanye huyo hapo pichani ni muwe wenu.Alihudhuria, kwa nini alihudhuria hiyo sio kazi yangu
Picha hiyo hapo
Kama humjui ni huyo pembeni ukutani upande wa kushoto(wa tatu)
View attachment 1734361
Asante sana mkuu,nimeitafuta sana hii picha kuwathibitishia hawa maboya sikua nimeipata.Alihudhuria, kwa nini alihudhuria hiyo sio kazi yangu
Picha hiyo hapo
Kama humjui ni huyo pembeni ukutani upande wa kushoto(wa tatu)
View attachment 1734361
Kitu cha Kigoma mixer makushabu ni noma mzee baba.Umevuta cha wapi mkuu ? Au umekosea kuni quote ?
Naye ni waziri?Wakati juzi alikua kwny kikao cha mawaziri kilichoitishwa na mama Samia.
Ha ha ha mwanaharakati amevurugwa anatafakari wapi pa kuanzia ..maana awamu ishageukaHauwezi kuwaona wote.
Sasa waliounga juhudi sijui watarejea pande zao?Ha ha ha mwanaharakati amevurugwa anatafakari wapi pa kuanzia ..maana awamu ishageuka
Ina kama wiki 3, kuna mpunga wa kutosha tu ulivutwa akihusisha na vigogo wengine siwezi waandika hapa.