Mbona hawa Sijawaona Msibani?

Nutafakari sana huu uzi wengi wangetamani kwenda ila nafsi zinawasuta ,jokateee kisssrawe alikuwepo Dar ana bahati yeye hajakanyagwa na kufa kama wale raia wengine msigwa alikuwepo Dom na hata Bashite alikuwa mwanza jana kapiga na saluti japo sio mwanajeshi wala hakuwa na uniforms, wengine wagonjwa hawataki kujiexpose kwenye risk bila sababu ya msingi
 
Hata wazee wa buku tano ya kubrashia viatu sijawaona kwa wingi naona wajeda na Askari sugu ndiyo wengi au wamebadilishiwa uniform?
 
Msigwa alikuwa Dodoma juzi nenda kwenye Twitter yake
 
kuna ambao wana mitungi ya okisijeni na diripu zipo pembeni.......hii corona hii....MUNGU utusamehe hakika......kuna ambao wako mochuari mpaka ya Mkuu wa Wakuu yaishe....maana serikali haiwezi kugawanyika.......na kwa desturi kigogo akindei lazima iwe publicity.....
 
Hapa mtaa naoishi kunakijamaa kinatabia kama za mleta thread yaan msiba ukitokea kazi yake ni kunot nani hajafika msibani,,, pumbafu sana. Kwan tutaenda msibani wote jmn na hata akiwepo unaweza kunot wote waliohudhuria
 
Pengine hawakupata kadi za mwaliko!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…