Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Umesahau ndio rais aliefanya maendeleo makubwa kuliko wote?Umesahau ndo Rais aliyekopa zaidi na kuongeza deni la Taifa kwa kiwango kikubwa zaidi kuliko Rais yeyote kwenye historia ya Tanzania