Mbona Israel hawajamtambua mateka wa Tanzania aliyekufa

Mbona Israel hawajamtambua mateka wa Tanzania aliyekufa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
Critical thinking ya watanzania wengi ipo chini sana, sio tu kwenye Geopolitics hata kwenye mambo muhimu ya ndani
 
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
Yaani Hamas wamteke mtanzania halafu wewe mfia dini unataka uwarushie lawama Israel hizi imani huwa zinawafunga akili au mnajitoa ufahamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
sahihi mkuu, sisi watanzania ni wadini mno. we dont even use common sense
 
Yaani Hamas wamteke mtanzania halafu wewe mfia dini unataka uwarushie lawama Israel hizi imani huwa zinawafunga akili au mnajitoa ufahamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwa kweli tulipofikia inatia kinyaa. Hamas wamemteka kijana mwanetu aliyekuwa Israel nadhani wakamfanya mateka, sasa kuna vichaa wanakuja na kuilaumu Israel tena dah!
 
Yaani Hamas wamteke mtanzania halafu wewe mfia dini unataka uwarushie lawama Israel hizi imani huwa zinawafunga akili au mnajitoa ufahamu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Mnachekesha sana.yaani mtu atekwe Israel alikopelekwa kusoma halafu lawama apelekewe Hamas.
Na hiyo yote ni kwa vile hili tukio limemuhusisha muislamu.Halafu mnasema watanzania wanaleta mambo ya udini.
kama angekufa nchi ya kiislamu si kuilaumu hiyo nchi tu bali na fidia tungedai
Kumbuka shambulio bandia la New York .Marekani iliiangushia zigo Saudia na nakumbuka mpaka akaunti nyingi za waislamu na Saudia zilitaifishwa wakati wala hawakupewa taarifa ya tukio hilo.Waliokuwa na taarifa ni Israel pekee.
Mbona nyinyi wenye bongo zisizokuwa makamasi sikuwahi kuwasikia mkishangaa mkasa huo.
Watanzania waliotekwa kwanza Israel iseme mazingira ya kutekwa kwao na huyu aliyekufa alikufa wapi..Wote wawili walikuwa shule au kwenye kambi zao.Halafu wadaiwe fidia ya mabilioni ya dola ziwafae wanafamilia.Waache ujanja wao na visa vyao.
 
Sisi Watanzania wachache ni wapumbavu sana akiwemo mleta mada. Tumekuwa mstari wa mbele kushadadia hii vita kwa kuegemea mlengo wa Dini zetu. Kwakweli hii sio sawa, inaonyesha kwa kiasi gani vichwa vyetu vimejaa Makamasi na UTI badala ya Ubongo. Hoja zozote zenye msukumo wa Dini ni kiashiria cha Ujinga na Upumbavu uliovuka kiwango. Tujifunze kuchambua vitu kwa kuzingatia hoja zenye weledi wenye mantiki.
Tuacheni tuomboleze kifo cha Mtanzania mwenzetu kwanza msianze kushindana kutafuta nani kamuuaa kwa mlengo wa Dini zenu keng.e nyie.
Wapumbavu ni wengi kuliko wajinga
 
Mnachekesha sana.yaani mtu atekwe Israel alikopelekwa kusoma halafu lawama apelekewe Hamas.
Na hiyo yote ni kwa vile hili tukio limemuhusisha muislamu.Halafu mnasema watanzania wanaleta mambo ya udini.
kama angekufa nchi ya kiislamu si kuilaumu hiyo nchi tu bali na fidia tungedai
Kumbuka shambulio bandia la New York .Marekani iliiangushia zigo Saudia na nakumbuka mpaka akaunti nyingi za waislamu na Saudia zilitaifishwa wakati wala hawakupewa taarifa ya tukio hilo.Waliokuwa na taarifa ni Israel pekee.
Mbona nyinyi wenye bongo zisizokuwa makamasi sikuwahi kuwasikia mkishangaa mkasa huo.
Watanzania waliotekwa kwanza Israel iseme mazingira ya kutekwa kwao na huyu aliyekufa alikufa wapi..Wote wawili walikuwa shule au kwenye kambi zao.Halafu wadaiwe fidia ya mabilioni ya dola ziwafae wanafamilia.Waache ujanja wao na visa vyao.
Signature yako inaeleza kila kitu. Point.
 
Kwa kweli tulipofikia inatia kinyaa. Hamas wamemteka kijana mwanetu aliyekuwa Israel nadhani wakamfanya mateka, sasa kuna vichaa wanakuja na kuilaumu Israel tena dah!
Unaweza ukawa kichaa wewe kwa kutotambua mvamizi ni nani na kifo chake kimetokana na nini
 
Taarifa zimezagaa kuwa mmoja wa mateka wawili wa kitanzania waliokuwa huko Gaza ameshafariki dunia.Mateka huyo anaitwa Clemence Felix Mtenga, mwenye umri wa miaka 22.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa na Bbc Israel ilikubali kuwa kweli ameuwawa lakini katika orodha za waliotajwa kufa tayari walikuwa bado hawajaweka jina lake kumtambua.
Kama waziri wa mambo ya nchi za nje asingehoji kuhusu raia hao wala asingejulishwa.
Waliotajwa rasmi kujulikana kuwa wameshakufa ni pamoja na raia Marekani na wengine mayahudi wenzao.Jee hii ina maana wao walihusika na kifo chake na kutaka kuficha siri au ni kutokana na kuwaona watu wengine kama nyani wakiwa hai au wamekufa.
Mleta mada huwa ana mizuka ya kidini sana

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom