Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Hizo ni sawa na uchukue Pepsi uweke kwenye chupa ya maji ya Uhai halafu useme ni vinywaji tofauti.nissan juke ina shida kama hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni sawa na uchukue Pepsi uweke kwenye chupa ya maji ya Uhai halafu useme ni vinywaji tofauti.nissan juke ina shida kama hizo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa serious kidogo basi. Hivi Juke ni shape ya gari aiseee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeionea Juke haina shepu mbaya ila hazishuki bei zipo juu mno,sasa shep ya Juke ndio utafananisha na Dualis au Subaru forester???
Du wewe noma,gari gani nzuri kwako IST sio???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa serious kidogo basi. Hivi Juke ni shape ya gari aiseee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile gari mtoto akiwa mjeuri ukamletea mbele yake ukalizimua mtoto anazimia.
Ile gari ukiweka mkia nyuma na masikio kwa juu, Ngiri huyu hapa.
Ile gari ukikutana nayo usiku huku unaweza dhania ni gari ya yule jini anaitwa jeepers Creepers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Gari nzuri zipo nyingi sana.Du wewe noma,gari gani nzuri kwako IST sio???
Bongo si Toyota tu kama sio Toyota uniform zilizobakia zoote mbaya.Gari nzuri zipo nyingi sana.
Ushindani wa soko huoKuna habari gani?