EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
- Thread starter
- #101
Kweli siwezi kukataa kwamba ninakipaji kiasi fulani cha kuongoza vikundi vya soga .Sema huyu dogo anatuchora hapa, kaja kutu onyesha yakua yeye ni “Wise”
But nipo na ukweli wa hili .Ni seme basi kwa wale ma broo au Kaka zangu walonishauri vizuri big up sana .Ila kwa wewe unaye ona nakuchora pia ni familia sana .Maana huwezi mlazimisha mtu akuelewe .🙌