Mbona kama sielewi wakuu?

Mbona kama sielewi wakuu?

Sijasoma udsm..
Sijui mana ya gpa
Sina familia mimi

Acha uwongo hvi wewe ujaona kuwa wenzako wanakuchora humu ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜wewe ndo mana jukwaa la mapishi walitaka kukupiga
Sasa mimi jukwaa la mapishi nilienda huko lini kaka ?๐Ÿคฃ
Acha kukurupuka kaka mimi na mapidhi wapi na wapi ?
Huenda kuna hacker alikuwa anatumia account yangu kaka .๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
 
Nishaona kumbe watanzania wengi mnamchango mdogo sana kwenye taifa letu.
Mimi nimepata 4.5M kutokana na biashara nilo ianzisha kwa 350k tarehe 1/12/2024 lakini nyie mnaona ni ndogo ๐Ÿ˜‚ sawa .
Na nipo chuo hapo na bado najisomesha na pia nipo na mdogo wangu yupo Mzumbe namsomesha .
Ipo hivi akili ya biashara ni bora kuliko mtaji
Kama kweli umeanza biashara kwa mtaji wa 350k na sasahivi mtaji umekua hadi 4.5M kwa muda wa miezi 3 basi hiyo biashara ni nzuri. Swali ni je kwanini unafikiria kubadilisha/kuanzisha biashara nyingine? Kuanza biashara mpya means unaweka mtaji wako kwenye risk mpya ambayo hauifahamu. Ushauri wangu ni endelea kufanya hiyo biashara maana mtaji umekua na ni biashara ambayo umeshapata uzoefu nao (small risk) kwahiyo tumia hiyo 4.5M kuexpand biashara yako. Ila kama nia yako ni kubadilisha biashara au kuongeza biashara mpya then nakushauri usiweke mtaji mwingi kwenye biashara mpya. Investment kubwa iwe kwenye existing business wakati unaisoma hiyo biashara mpya.

Kuhusu biashara ya kufanya kwa mtaji wa 4.5M basi angalia biashara zinazotarget wanachuo coz nyingi hazihitaji mtaji mkubwa lakini pia umesema unasoma chuo so I believe you can get customers easy kidogo. Mfano wa biashara ni kama kuuza nguo za mitumba mostly kwa wadada (ni wateja wazuri) and you can easily use social media kuwapata. Biashara nyingine ni salon ya kucha kwa wadada wa chuo (hii sina uhakika kuhusu investment yake so itabidi uifanyie research) ila ukipata wapaka rangi wazuri I believe unaweza kutengeneza hela nzuri wateja wakishakuzoea. Kumbuka! Usikimbilie biashara ambazo zinaanza kukupa faida chap! Nyingi huwa zina risk kubwa sana mfano boda na bajaji, ni biashara nzuri ila ni highrisk. Pia kumbuka kwenye biashara yoyote inakubidi uwe directly involved na hiyo biashara na sio kumuachia mtu, Itakupunguzia risk ya kupoteza mtaji wako.

PS: Mungu aendelee kukusimamia, siku ukifikisha mtaji wa at least Mil 15 nitafute nikupe biashara nzuri zaidi.
 
View attachment 3252923
Mimi ni Wakiume bado ni Mwanafunzi wa chuo flani hapa Dar es salaam lakini ni nimepata kapesa kadogo .Nipo na 4.5Million nifanye biashara gani ase maaana sitaki kapotee? ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ
Ngoja wakudake wale jamaa wanaosemaga "mlete huyu, huyu atamzaa huyu tayari utakuwa na branch 2, hizo branch na zenyewe zikizaa ...... โ™ป๐Ÿ”บ๏ธ
 
Kama kweli umeanza biashara kwa mtaji wa 350k na sasahivi mtaji umekua hadi 4.5M kwa muda wa miezi 3 basi hiyo biashara ni nzuri. Swali ni je kwanini unafikiria kubadilisha/kuanzisha biashara nyingine? Kuanza biashara mpya means unaweka mtaji wako kwenye risk mpya ambayo hauifahamu. Ushauri wangu ni endelea kufanya hiyo biashara maana mtaji umekua na ni biashara ambayo umeshapata uzoefu nao (small risk) kwahiyo tumia hiyo 4.5M kuexpand biashara yako. Ila kama nia yako ni kubadilisha biashara au kuongeza biashara mpya then nakushauri usiweke mtaji mwingi kwenye biashara mpya. Investment kubwa iwe kwenye existing business wakati unaisoma hiyo biashara mpya.

Kuhusu biashara ya kufanya kwa mtaji wa 4.5M basi angalia biashara zinazotarget wanachuo coz nyingi hazihitaji mtaji mkubwa lakini pia umesema unasoma chuo so I believe you can get customers easy kidogo. Mfano wa biashara ni kama kuuza nguo za mitumba mostly kwa wadada (ni wateja wazuri) and you can easily use social media kuwapata. Biashara nyingine ni salon ya kucha kwa wadada wa chuo (hii sina uhakika kuhusu investment yake so itabidi uifanyie research) ila ukipata wapaka rangi wazuri I believe unaweza kutengeneza hela nzuri wateja wakishakuzoea. Kumbuka! Usikimbilie biashara ambazo zinaanza kukupa faida chap! Nyingi huwa zina risk kubwa sana mfano boda na bajaji, ni biashara nzuri ila ni highrisk. Pia kumbuka kwenye biashara yoyote inakubidi uwe directly involved na hiyo biashara na sio kumuachia mtu, Itakupunguzia risk ya kupoteza mtaji wako.

PS: Mungu aendelee kukusimamia, siku ukifikisha mtaji wa at least Mil 15 nitafute nikupe biashara nzuri zaidi.
Kaka umetisha sana , ninge sema ni biashara gani ila nitakwambia sooon.
But biashara hii huwa inategemea sana watu watumiaji wanatumia kwa speed gani .
Kwa mfano kipindi hiki cha mfungo wateja wachache sana so hizo bidhaaa nazo zinakua ngumu sana na unaweza kula loss ya mtaji
 
Kaka umetisha sana , ninge sema ni biashara gani ila nitakwambia sooon.
But biashara hii huwa inategemea sana watu watumiaji wanatumia kwa speed gani .
Kwa mfano kipindi hiki cha mfungo wateja wachache sana so hizo bidhaaa nazo zinakua ngumu sana na unaweza kula loss ya mtaji
Mmmmh au mdudu Nini???
 
Ngoja wakudake wale jamaa wanaosemaga "mlete huyu, huyu atamzaa huyu tayari utakuwa na branch 2, hizo branch na zenyewe zikizaa ...... โ™ป๐Ÿ”บ๏ธ
hmtajihayo makampuni yote nayajua vizuri Q- NET , ALLIANCES , FOREVER n.k so hawaniwezi kaka
 
Nishaona kumbe watanzania wengi mnamchango mdogo sana kwenye taifa letu.
Mimi nimepata 4.5M kutokana na biashara nilo ianzisha kwa 350k tarehe 1/12/2024 lakini nyie mnaona ni ndogo ๐Ÿ˜‚ sawa .
Na nipo chuo hapo na bado najisomesha na pia nipo na mdogo wangu yupo Mzumbe namsomesha .
Ipo hivi akili ya biashara ni bora kuliko mtaji
Sasa si uongeze ukubwa wa biashara iyo iyo, au biashara yenyewe ni kubet?
 
Back
Top Bottom