EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
- Thread starter
- #21
Duuu hela usije shauriwa kuiweka maaana shida ni nyingi sana ifanye izungukeHiyo pesa iweke tuu au iweke UTT maana kwa uzoefu wangu ukiingiza kwenye biashara inapotea shwaaa fanya kuiweka huku unaijazia usubiri umalize chuo pengine utakuwa na 10 mil ndo urudi hapa kuomba ushauri.
Kama unaona ukiweka hiyo hela utaila basi lete nikutunzie 😁