Mbona kama sielewi wakuu?

Sema huyu dogo anatuchora hapa, kaja kutu onyesha yakua yeye ni “Wise”
Kweli siwezi kukataa kwamba ninakipaji kiasi fulani cha kuongoza vikundi vya soga .
But nipo na ukweli wa hili .Ni seme basi kwa wale ma broo au Kaka zangu walonishauri vizuri big up sana .Ila kwa wewe unaye ona nakuchora pia ni familia sana .Maana huwezi mlazimisha mtu akuelewe .🙌
 
Em amka usingizini, utajikojolea buree, mxxxiiiieeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…