The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Kwanza kabisa anza kumshukuru mamaLeo Kuna tatizo gani mjini,
Yani kkoo, posta, Ilala, mpka road za Sinza, kinondoni, Kuna foleni sana
Yani gari hazitembei, mpka Boda wapo foleni, shida ni Nini Leo?
Napita Mimi hapa traffic wamezuia magari tulia hapo hapo mpaka nipiteLeo Kuna tatizo gani mjini,
Yani kkoo, posta, Ilala, mpka road za Sinza, kinondoni, Kuna foleni sana
Yani gari hazitembei, mpka Boda wapo foleni, shida ni Nini Leo?
Pongezi zote kwaNampenda kumshukuru mh kwa hii foleni, bila yeye isingewezekana
Njoo kitambaa , sinzaNapita Mimi hapa traffic wamezuia magari tulia hapo hapo mpaka nipite
Umevaa sketi rangi gani?Njoo kitambaa , sinza
mzee wa kukataa gogoUmevaa sketi rangi gani?
Subiria hapo hapo nakojoa nakujamzee wa kukataa gogo
Mafuriko yake hapo leo sijui tuNjoo kitambaa , sinza
Mkuu nipo njiani nitakuwa kaunta na jezi ya man uNjoo kitambaa , sinza
Hata hapa mbeya nime shangaa sana,si boda si bajaji gari yaani nishida.Leo Kuna tatizo gani mjini,
Yani Kariakoo, Posta, Ilala, mpaka road za Sinza, Kinondoni, Kuna foleni sana
Yani gari hazitembei, mpaka Boda wapo foleni, shida ni Nini Leo?
🙆DahUmevaa sketi rangi gani?
Nani?Haujui kuna msiba mkubwa Leo magari ya VIONGOZI NI mengi leo
Mistari ya pundamilia hapa mkuu, ukiniona nishtue🤗Umevaa sketi rangi gani?