Mbona leo kuna foleni sana?

Mbona leo kuna foleni sana?

Leo Kuna tatizo gani mjini,

Yani Kariakoo, Posta, Ilala, mpaka road za Sinza, Kinondoni, Kuna foleni sana

Yani gari hazitembei, mpaka Boda wapo foleni, shida ni Nini Leo?
hivi kuna sababu ya msingi udsm kufanyia mahafali dar? kwanini wasufanyie dodoma, hii jamu yote imeletwa na wabeba mashada na majoho, tumewekez fedha nyingi dodom ili tuifungue nchi, lakini watu bado wanakomalia kubaki dar, dar penyewe alipajua alivyokuja kusoma chuo,
 
Hahah ukiona foleni ujue watu hawana PESA/HELA. Wenye pesa huwa wakitoka shughuli zao wanatafuta Bar au mgahawa wanakula bata mpaka saa 4 usiku ndio wanaanza safari.

Sasa wewe saa 10 jioni ushaingia barabarani unaenda wapi< Nyumbani kufanya nini?

Shuka Kula bata, labda kama ni mke wa mtu unahaki kuwahi nyumbani.
 
Back
Top Bottom