The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hayo mapori ndio mazuri unless yawe ni mapori tengefu.Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.
Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.
Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.
Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.
Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.
Karibu sana Lindi Ruangwa.
#MaendeleoHayanaChama
Sio sababu,Pwani imekaa Kati ya Dar na Moro kwani hakuna maendeleo?Mkuu hujaelewa hapo!! Alikua anasema Lindi imekaa kati ya Dar na Mtwara ndio maana haina maendeleo.
Chuo Cha gas na mafuta kinakuja.... umewahi kusikia chuo gani Lindi; hata VETA sina hakika kama ipo.
Acha uongo wewe,Songea sio Mji mdogo hata kidogo.Nisiwacheke sana Lindi, maana mwenyewe kwetu hali ni hiyo hiyo japo kuna nafuu kidg. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena bora lindi watajivunia Bahari na bandari,. Sisi Ruvuma ni vumbi tyuuh. Sisi ndo tulikosea nn Dunia, sio kwa mkoa wetu khaaah.
Sasa kwa taarifa yako kitakachoipaisha Lindi siku za usoni iwe kama Miami ni beach tourism,kama wanauza maeneo huko nitonye.Nakubali kabisa, Masasi ni wilaya Ila ni center sana na Pana Mishe za hela.. Huwa naendaga Lindi kupunga upepo wa bahati tu na kurudi
Harafu limtu la mikoa inayojipendelea linaropoka Lindi kubaya kumbe hakuna barabara kama huko kwao na Sio juhudi zao kujenga bali serikali iliwajengea.Barabara za kwenda vijijin ni mbaya sana na yale makorongo ukibugi tu umetumbukia
Kuna vijiji watu Wana kaa ata miaka kumi hawajaenda Lindi mjini sababu ya gharama ya nauli inayo changiwa na ubovu wa barabara..
Sema huu uzoefu wa viuno feni Sina[emoji16] sijawai kusononoka na binti yoyote kwenye ule mkoa, itabidi niende tena nikachukue huu uzoefu[emoji2]
Ni suala la mda tuu,hiyo ni biashara ya wenye pesa,kadiri uchumi unavyoimarika pesa zitamwagika Lindi kwenye beach tourism na baadae mtaipenda maana ndio utakuwa Mji mpya wakati huko kwenu tayari ni magofu.Yaah..lindi wana fukwe nzuri sana safi na zina vutia..ila ndio hivyo tena kumenyata sana.
#MaendeleoHayanaChama
Niambie I Bei za viwanja huko ,hayo ndio maeneo Huwa napenda kushika ardhi yaani Lindi,Kigoma,Rukwa na Katavi..Mimi nimefika Lindi wakati natinga Dangote ni Mji mzuri sana na nilijiapiza kurudi Lindi one day.
Na ninahamu pia ya kwenda siku moja Kilwa Kisiwani.
Maeneo kama hayo Huwa napenda sana ndio yanaweza kukufanya tajiri maana fursa hasa ardhi inapatikana Kwa bei nafuu.Nawasoma tu wadau humu wanalopoka tu lopoka tu
Wanaiponda lindi ....lindi kuna mradi mkubwa sahv wa uchimbaji wa magnesium na kuna mradi mkubwa mkubwa wa uchimbaji wa graphite
Na sahv lindi kuna mahali wanachimba watu dhahabu na purity yKe iko vzr kuliko hata ya kutoka kanda ziwa....
Fursa zipo San na sahv huko kuna mchanganyiko wa watu wanaenda
Wavaa tai,wakaa mjini hawawezi elewa
Ova
Kwa mtafutaji lindi fursa zipo
Utalii tuu utaivusha bila hizo mbwbwe zingine..Jambo ambalo wengi hawalijui maendeleo ya mkoa siku zote inatokana na 'promosheni' ya serikali kuelekeza miradi yote ya kimaendeleo katika mkoa husika,hivi katika hii nchi kuna mikoa yenye ukame na watu wake masikini katika hii nchi tofauti na Dodoma au singida? ila ona serikali imeelekeza miradi ya kimaendeleo katika hiyo mikoa leo inaonekana ya maana kuliko Lindi;Dodoma imehamishiwa serikali,kumejengwa vyuo vikubwa vingi...
Singida pia wamejenga ndaki nyingi za vyuo kama vile uhazili,chuo cha uhasibu n.k
Sasa nashangaa shoga mmoja anakuja hapa kulalama kwamba Lindi hawana barabara nzuri mara ooh sijui Lindi pakame, mara hawana chuo,sijui mzunguko wa hela mdogo sasa hayo yote ni wajibu wa raia au serikali?
Matumaini yangu: kama serikali itaipa Lindi kipau mbele kwa kuipelekea miradi ya kimaendeleo kama vile bandari,vyuo,na miradi mingine mingi ya kimaendeleo basi itapiga hatua kubwa mno kwani fursa zipo nyingi sana katika huu mkoa.
Watu wa bara mnatusumbua sana ila huku kwenu hakuna jipya,uchawi upo,roho mbaya,kuuana hovyo ndugu zenu hawataki kusoma bali wamekalia kuchunga mifugo na kuolewa mapema.Hadi wa leo mnafanya barter trade yani unapata mke kwa ng'ombe au mbuzi kadhaa.[emoji23]
#mafwalanyinyi!
Sio rahisi , ila kajaribu,Huku ndiko kwa kwenda kukamatia fursa ,ni mkoa mzuri Wilaya zake zote zina fursa ya kila aina..
Lindi yenyewe na Mafia kuna beaches za kuzidi hadi Zanzibar wakasome.
Usikariri maisha wewe ngumbaru..Kigoma nako hakuwezi kuendelea kwa style yao ya kuvimbiana kiulozi. Sehemu ambayo haina muingiliano sana wa makabila ni ngumu sana kuendelea. Watu wanakatana mikia yani kutoboa lazima uwe alwatani wa ulozi πππ kila mmoja hataki utoboe wote muwe sawa tu
Mimi shida yangu ni Ardhi hayo mengine najua cha kufanya.Sio rahisi , ila kajaribu,
Ili uweze kukamatia fursa ni lazima man power iwe active
Lindi ina vijana wavivu kwa kuwa wanategemea uvuvi, wana miembe na mikorosho. Kijana wa lindikehaokota dodo zake nne amefunga kwe ye pakacha anauza elfu tatu, !! Humtumi chochote ,sana sana anasubiri msimu wa korosho
Endelea kujidanganya Tu.Kigoma nako hakuwezi kuendelea kwa style yao ya kuvimbiana kiulozi. Sehemu ambayo haina muingiliano sana wa makabila ni ngumu sana kuendelea. Watu wanakatana mikia yani kutoboa lazima uwe alwatani wa ulozi [emoji23][emoji23][emoji23] kila mmoja hataki utoboe wote muwe sawa tu
Hahahahah sasa wewe unajifanisha na bhakresa? Mbona wewe hupeleki hayo mabehewa kama ni jambo rahisi mzeeπππ au hutaki hela?Endelea kujidanganya Tu.
Bakhrresa kila mwezi anapeleka mabehewa kadhaa ya products Zake huko monthly wewe endelea kupiga sPana za spare parts
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Nenda tu Wa Ludewa πππ kwenu kumekushinda kutoboa unaishi kwa fadhila za lumumba buku 7 utapaweza Lindi hapo?Maeneo kama hayo Huwa napenda sana ndio yanaweza kukufanya tajiri maana fursa hasa ardhi inapatikana Kwa bei nafuu.
Bila kusahau maji ya chumvi mwili unanata utafikir umepaka ulimbo hata ulale guest ya elf40 hali iyoiyo, Lindi [emoji120]Mikoa nane uliyotembea ni michache sana kwako kuijadili lindi
Nimetembea Tanzania yote kila mkoa , ni wilaya baadhi tu sijafika na nyimgi ni hizi mpya ,
Lindi pamedorora , na maisha yake kama mtwara tu ni ghali ! Nimelala Guest house ya 25000 lindi , kitanda ni 4x6 na hakina neti maji ni ya kuchota na ndoo, tv ya chogo., hii sionmiaka ya 90, ni juzi tu hapa zimepita siku 9 tu
Nani kakwambia nimeshindwa? Sisi ni watu wa kukamatia fursa, endeleeni kulalamika huko Dar.Nenda tu Wa Ludewa πππ kwenu kumekushinda kutoboa utaweza Lindi hapo?
Fursa gani unayo zaidi ya kumponda Jiwe kwa shekeli ya buku 7 toka LumumbaNani kakwambia nimeshindwa? Sisi ni watu wa kukamatia fursa, endeleeni kulalamika huko Dar.