Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kukamata mapori mpaka utakufa mengine hujavuna chochoteNani kakwambia nimeshindwa? Sisi ni watu wa kukamatia fursa, endeleeni kulalamika huko Dar.
Mmmm ni hatari kama ni kweliLodge moja niliwahi kufikia huko miaka ya 2010's mwanzoni hapo,lodge maji hakuna wakatuonyesha maji yaliyotumika kufulia nguo wakasema yako hapo kwny hio ndoo mnaweza kuyaogea, nikasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hata kama ila lindi kumenyata sana hili huwezi pinga..huo mji haukui...unazidiwa na vimiji vidogo vya juzi juzi kama katoro.Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!
Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!
Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
Ni kweli lindi ni sehem nzuri kwa kununua Ardhi kuna rafiki yangu baba yake kanunua ardhi Lindi kwa kutoa Ng''ombe 20, kupewa Ardhi kubwa sana unaweza kutembea kwa gari kwa dakika 10.Maeneo kama hayo Huwa napenda sana ndio yanaweza kukufanya tajiri maana fursa hasa ardhi inapatikana Kwa bei nafuu.
Uko ndo kuzuri kwa kuwekeza Guest nzuri.Bila kusahau maji ya chumvi mwili unanata utafikir umepaka ulimbo hata ulale guest ya elf40 hali iyoiyo, Lindi [emoji120]
Kwenye changamoto ndipo kwenye fulsaBila kusahau maji ya chumvi mwili unanata utafikir umepaka ulimbo hata ulale guest ya elf40 hali iyoiyo, Lindi [emoji120]
Tunamkaribisha sana ruangwa.Ruangwa eneo ambako mke wangu ameajiriwa huko
Wazawa ndio wengi..wageni wachache sana wengi watumishi wa umma..ila wafanyabiashara hakuna mji hauna mzunguko wa pesa kabisa.KWA MIAKA YA KARIBUNI MIJI MINGI IMEKUWA IKIJENGWA NA WAGENI. CHUNGUZENI IDADI YA JAMII ZA KIGENI UKILINGANISHA NA WAZAWA IKOJE KWA HAPO LINDI.
Wakubwa walishachukua maeneo ya fukwe za Lindi ,lakini hawana ubunifu wala wazo la biashara!!Sasa kwa taarifa yako kitakachoipaisha Lindi siku za usoni iwe kama Miami ni beach tourism,kama wanauza maeneo huko nitonye.
Kwote huko nimefika kwahiyo kama una interest napo acha kuficha mambo.
Hakuna mkoa wa kifala kama Tabora,nilipangwa huko ilinibidi nihame chaap;jamaa wachawi,kuuana hovyo,washamba,dada zenu kupika hawajui,kitandani ndio shida tu..n.k kiufupi mikoa ya huko bara ni takataka.Tabora inapiga hatua huwezi linganisha na Lindi. Tabora haina mambo ya kurogana hovyo.
Kama hayo mambo yapo basi ni hapo Lindi mjini acha kujumuisha vijana wote wa Lindi,vijana huku wilayani tunajituma sana tunalima kwa wingi mazao ya biashara;ufuta,mbaazi,mihogo na korosho..kiufupi hatupo kama mnavyotuchukulia,Lindi ndio mkoa unaoongoza katika hii nchi kwa kuingiza pato kubwa litokanalo na mapato ya zao la ufuta.#Shikahiyo!Sio rahisi , ila kajaribu,
Ili uweze kukamatia fursa ni lazima man power iwe active
Lindi ina vijana wavivu kwa kuwa wanategemea uvuvi, wana miembe na mikorosho. Kijana wa lindikehaokota dodo zake nne amefunga kwe ye pakacha anauza elfu tatu, !! Humtumi chochote ,sana sana anasubiri msimu wa korosho
🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu "Sijaona" najua kwenu Lindi. Lakini huo ndio ukweli. Acha usemwe.
'Mkaonyeshwa maji yaliyofuliwa myatumie'?!!!!!! Lodge?!!! Sawa kiongozi!Lodge moja niliwahi kufikia huko miaka ya 2010's mwanzoni hapo,lodge maji hakuna wakatuonyesha maji yaliyotumika kufulia nguo wakasema yako hapo kwny hio ndoo mnaweza kuyaogea, nikasema tu Hiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hukuhfika Tabora labda ulikuwa chunya nyau wewe.Hakuna mkoa wa kifala kama Tabora,nilipangwa huko ilinibidi nihame chaap;jamaa wachawi,kuuana hovyo,washamba,dada zenu kupika hawajui,kitandani ndio shida tu..n.k kiufupi mikoa ya huko bara ni takataka.