cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mie najuaga pale ilipo Veta ni Mnazi M1, oooh ahsanteee sana.Ipo sehem inaitwa Mitwero, mnazi mmoja ni pacha kwenda masasi na Mtwara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie najuaga pale ilipo Veta ni Mnazi M1, oooh ahsanteee sana.Ipo sehem inaitwa Mitwero, mnazi mmoja ni pacha kwenda masasi na Mtwara
Ooooh ahsante kwa kunisahihisha.Siyo kweli. VETA ipo mwanzo mwanzo huku unaingia Lindi ukitokea Mchinga. Ipo karibu na airport. Mnazi mmoja Mingoyo iko kama 20km kutoka mjini kuelekea Mtwara.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We si umeona Mmanyema Mondi kasanda kwa Konde Boy mtoto wa kusini [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkoa hauna hata kitu cha maana, yaan khaaah.NBS inautaja mkoa wa Ruvuma kuwa top ten katika mikoa tajiri nchini..
Sijui wanatumiaga vigezo gan wale
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kabisaaaa.Mikoa kama hii ndio mitaji ya CCM sehemu kama haijaendelea hadi leo hii ujue wajinga bado wapo wengi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekeshe, Songea ina nn cha maana?? Hebu nieleze? Labda Songea nyingine, ila hii ya mkoa wa Ruvuma, haina chochote.Acha uongo wewe,Songea sio Mji mdogo hata kidogo.
Acha ujuaji. Usijifanye unaijua sana lindi kuliko wazoefu waliopo hapo wanaelewa kitu gani kinaendelea. Nani kakuambia mradi wa LNG bomba linaenda dar.Jipe moyo..ebu tujulishe ile gesi ya mtwara ambayo tuliambia mtwara itakuwa jiji kubwa afrika mashariki kutokana na gesi kiko wapi sasa.
Ukuaji wa seheme unachangizwa na mengi sana..sikatai ujenzi wa hivyo vyuo unaweza kuwa chachu..ila kuhusu gesi ambayo bomba litapita kuelekea dsm sahau kuhusu maendeleo ya lindi..kamaana tayari uzoefu tunao tangu ile ya mtwara inapigiwa upatu.
Kuhusu kumiliki ardhi lindi ni jambo jema kwa manufaa ya badae pia mana ardhi ni mali.
#MaendeleoHayanaChama
Tembea uoneKwani Dodoma kuna uwekezaji?
Chimbo km chimbo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaona wabishi tuko huku
Hapa ndiyo camp
Alafu tukija mjini tukiwa viti virefu
Tunapata mambo yetu anakuja mtu
Anataka kutupangia matumizi
Ova
View attachment 2308626View attachment 2308628
Wee Ruvuna Lodge ya 20k ni expensive kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ruvuma ulale lodge ya 20000 maji ya ndoo ? Sijawahi kuona
Watu wanakaririshana hapa. Watu tumeenda lindi na tunapiga hela wao wanapiga makelele tu hapa. Tembeeni muone acheni kulishana matango pori hapa.Nawasoma tu wadau humu wanalopoka tu lopoka tu
Wanaiponda lindi ....lindi kuna mradi mkubwa sahv wa uchimbaji wa magnesium na kuna mradi mkubwa mkubwa wa uchimbaji wa graphite
Na sahv lindi kuna mahali wanachimba watu dhahabu na purity yKe iko vzr kuliko hata ya kutoka kanda ziwa....
Fursa zipo San na sahv huko kuna mchanganyiko wa watu wanaenda
Wavaa tai,wakaa mjini hawawezi elewa
Ova
Kwa mtafutaji lindi fursa zipo
Hujui kitu mfuasi wa pauloNadhani pia Lindi inaongoza kwa ulozi na uchawi kwa mujibu wa takwimu za mwaka jana. Hiyo factor ina athari hasi kwa mkoa.
YESU NI KRISTO
Mbinga ina nn sasa?? Makaa ya mawe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbinga ndo inabeba ule mkoa, ukiitoa Mbinga mkoa wa Ruvuma nafuu Lindi
Kwahyo kilimo tyuuh?? Si kinafanywa na wazawa?? Sasa kilimo kimesaidia nn kukuza Ruvuma?? Mkoa wa hovyo, sijawahi kuona, japo ni kwetu, ila ukweli lazima niseme.
Hivi unajua kuna wasukuma,wamakonde wengi sana wanalima ufuta huko lindi?Kama hayo mambo yapo basi ni hapo Lindi mjini acha kujumuisha vijana wote wa Lindi,vijana huku wilayani tunajituma sana tunalima kwa wingi mazao ya biashara;ufuta,mbaazi,mihogo na korosho..kiufupi hatupo kama mnavyotuchukulia,Lindi ndio mkoa unaoongoza katika hii nchi kwa kuingiza pato kubwa litokanalo na mapato ya zao la ufuta.#Shikahiyo!
Ruangwa, Masasi, Nachingwea, Nanyumbu na Liwale wakiunda mkoa wao watapiga hatua sana..... Halafu wanakuja kupiga kelele baadaye walitengwa! Anyway, Lindi imetoa watu maarufu nchi hii; Simba wa Vita, First Lady, current PM. Kama naona Ruangwa itajitenga kuwa mkoa unaojitegemea maana hadi timu wana timu yao ligi kuu.
Watu sijui wanapata wapi nguvu ya kuponda mikoa mingine. Hali ni mbaya sana. Na kila sehemu kuna fursa inategemea unafanya nini. Hapo hapo lindi kuna watu wanapiga hela kiasi kwamba wakikuta unaongea vibaya kuhusu Lindi wanakushangaa.Watanzania sisi ni washamba sana na malimbukeni na tusiojielewa; hivi tz hii ukiacha Dar kuna wapi kwingine kulikoendelea kiasi cha mtu kukesha akiponda sehemu nyingine?!!!!!!
Hivi makelele haya ninayoyaona ni ya watu kutoka sehemu hizi hizi za tz nilizotembelea na mimi au zingine?!!!!
Mikoa nane (8) ya nchi hii niliyowahi kufika na kuishi inanifanya nicheke sana baadhi ya commentsi humu.......
Kaa utulie uone kama hiyo gesi itawanufaisha watu wa lindi..mtakua mnaona mabomba yanaelekea dsm tu..mkipendelewa sana mtaona meli tu zinatia nanga kubeba gesi.Acha ujuaji. Usijifanye unaijua sana lindi kuliko wazoefu waliopo hapo wanaelewa kitu gani kinaendelea. Nani kakuambia mradi wa LNG bomba linaenda dar.
Liwale ipo kushoto sana..ila nilisikia hicho kitu kuanzisha mkoa wa masasi ila sidhani kama itawezekana kwa sasa kwasababu ya population ya huko kusini.Ruangwa, Masasi, Nachingwea, Nanyumbu na Liwale wakiunda mkoa wao watapiga hatua sana..