Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mh, sasa kumbuka kuwa Pwani ni sababu ya kizamani ya mji kukua, biashara siku hizi iko bara kuliko Pwani, Iringa kumbuka ndio njia kuu ya biashara kwenda Congo na Zambia, pia ni njia panda ya kwenda Mbeya, Morogoro na Dodoma, Lindi sasa yenyewe iko Pwani ndio, ila ukitoka hapo Lindi unaenda wapi tena kwenye mzunguko wa biashara.

Halafu pwani ishatwaliwa na miji kama Dar, kidogo na Tanga na Mtwara inakujakuja siku hizi, kumbuka Mtwara sio tu wana bandari kubwa pia wana njia kuu ya kwenda Songea na Mbeya na Malawi hivyo Mtwara ni kituo kikubwa cha biashara kuliko Lindi.

Hapo kwasababu za kushindani Lindi inapoteza taji kwa Mtwara
 
Location ya Morogoro inabeba mji, miundo mbinu karibia yote muhimu ya kitaifa imepita mji huo, kuanzia ya gridi ya taifa, barabara kuu, reli zote mbili, ni njia panda, location ina favor mji wa morogoro
Umesahau kitu kimoja: Moro kuna vyuo vikuu vinne, vya umma viwili na vya binafsi viwili vinachangia kwa kiasi kikubwa katika swala zima la Income na kuchangamsha Mji.
 
Inshu sio location..hivi unaijua Ifakara iliko..lakini mbona inapiga hatua.

Kama kuna biashara watu watafika tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lindi katika swala la Wizard sidhani kama kuna mkoa unafua dafu hata Sumbawanga haioni ndani. MZ wakati wa uhai wake alichezeshewa picha moja kali sana.
 
Location ya Morogoro inabeba mji, miundo mbinu karibia yote muhimu ya kitaifa imepita mji huo, kuanzia ya gridi ya taifa, barabara kuu, reli zote mbili, ni njia panda, location ina favor mji wa morogoro
... plus higher learning institutions - SUA, MU, etc. they bring new people every year, new ideas, thinking, life styles, etc. Sasa mamwinyi wa Lindi culture zao tu tayari ni tatizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…