Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Mbona Lindi iko unpopular sana? Shida ni promotion au wakazi?

Yaah..ile reli ya kutoka mtwara kwenda nachingwea kwenye groundnuts plantation.

Vijamaa vina matatizo ya akili..

Naona wasukuma wameaza kuhamia huko kwa kasi na mifugo yao..myb kutaanza kuchangamka.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yani wakipelekwa mchakamchaka na wafugaji ndo watabadilika walau
 
Yani wakipelekwa mchakamchaka na wafugaji ndo watabadilika walau
Sasa wasukuma wana ujanja gani zaidi ya ushamba wa kisengerema?

Kuhusu uchawi hata kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini na hata kanda ya kati,nilienda kondoa huko uislam mwingi ila watu wake maskini halafu wachawi mno,huko kwote uchawi mwingi tu maana nimekaa na kujionea.
 
Shoo inaanza karibia 70% ya mkoa ni mapori.. mji umejaa umwinyi sana na kurogana.. kiufupi wakazi hasa lindi mjini ni watu wa ndumba sana.

Hili hupelekea vijana wengi kuukimbia huu mkoa na kwenda DSM kusaka maisha na hawarudi kuwekeza kwao.

Asilimia kubwa ya watu walindi sio wasomi yaani hawana elimu dunia bali elimu akhera hili nalo tatizo.

Licha ya kuwa na ardhi nzuri na rasilimali nyingi bado miundombinu hususani barabara hazifiki maeneo mengi hasa vijijini.. maji safi tatizo umeme nao tatizo.

Wajanja wanapata hela sana Lindi kwa maana ya mazao kama ufuta, korosho, mbaazi n.k.

Karibu sana Lindi Ruangwa.

#MaendeleoHayanaChama
Safii sanaa umeeleza sana ukweli...
Tena kwenye Elimu Akhera ndo shida kabisaa.
Lindi wanashinda na kulala nje ya vibaraza msikitini wakiamini Duniani sio mahala pao wana mahala ambapo wameandaliwa na Mungu.
 
ka u-mwinyi kana umaskini wa fikra ..sawa na Tabora mjini...

miji mingi waliokaa waarabu ina tatizo hili

Misafara ya watumwa kutoka Ziwa Nyasa iliishia katika bandari hii, Hadi miaka ya 1950 Lindi ilikuwa mahali pazuri kwa maisha ukianza na waarabu walioishi karne ya 18
 
Lindi wapowapo tu na hawajielewi, mfano Wamakonde watu wa kucheza vigodoro tu, unyago plus upuuzi mwingine wataendelea lini. Kuna rafiki yangu yupo kijiji cha Luchelegwa anakaa huko sitaki cheo chake anasema watu wa huko wavivu, hawataki kufanya kazi, hawataki kujituma wala kujishughulisha na shughuli za kiuchumi bali wao wapo kupiga vita wageni wanaokuja na kusaka fursa. Waliwahi mpiga vita hata daktari ambaye yupo kituo cha afya cha Kata hiyo kisa alimshauri mgonjwa kuwa mnapokuja kupata huduma muwe wasafi hadi halmashauri ikaingilia kati

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Hii ya wasukuma kuhamia Lindi sinayo taarifa mkuu!!…

Iweke vizuri!!
Ni kweli wasukuma wanahamia Lundi kuna rafiki yangu baba yake katoa Ng''ombe 20 kapewa ardhi kubwa sana unaweza kutembea na gari dakika 15 ukamaliza eneo alilo pewa, na ata Rufiji wenyeji wameanza kuwakaribisha wageni kwa kuwapa ardhi wameshaona faida ya wageni.
 
sababu ni waislamu wengi nyerere ndio aliziuwa mkoa wa lindi mtwara pwani bagamoyo kilwa tanga
 
Lindi wapowapo tu na hawajielewi, mfano Wamakonde watu wa kucheza vigodoro tu, unyago plus upuuzi mwingine wataendelea lini. Kuna rafiki yangu yupo kijiji cha Luchelegwa anakaa huko sitaki cheo chake anasema watu wa huko wavivu, hawataki kufanya kazi, hawataki kujituma wala kujishughulisha na shughuli za kiuchumi bali wao wapo kupiga vita wageni wanaokuja na kusaka fursa. Waliwahi mpiga vita hata daktari ambaye yupo kituo cha afya cha Kata hiyo kisa alimshauri mgonjwa kuwa mnapokuja kupata huduma muwe wasafi hadi halmashauri ikaingilia kati

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hii mada ukiwa poyoyo utalishwa matango pori humu hadi watoto wakushangae!
 
Lindi mjini kati
FB_IMG_1661598022663.jpg
 
Ikipewa kipaumbele kila kitu kitakaa sawa. Ahsante sana

Wanaogopa kuongezeka na kuujaza mkoa wao?

Safi sana, wasiache mila na tamaduni zao,huku wakiangalia ni jinsi gani watautoa kidedea mkoa wao
Nalog off Z
Tamaduni gani za unyago?nje ya hapo hakuna kingine zaidi ya tamaduni za kigeni.
 
Inavyoonekana mkoloni alivyoondoka Lindi hawajawahi kujenga hata parking lot, mji umekuwa worse kuliko miaka 50 iliyopita, naamini mkoloni bado angekuwepo Lindi leo hii wangekuwa na maendeleo makubwa sana, CCM ni disaster kwa Tanzania
 
Mikoa kama hii kupoa kunachangiwa sana na serikali, ukiangalia majengo hayo ya miaka 1950 kurudi nyuma utajua kabisa huo mji ulikuwa na mishe za kutosha kwa wakati huo. Fikiria miaka hiyo hiyo miji mingine ilikuwaje kama sio mapori na vijiji vidogovidogo.

Tunasingizia umwinyi, sijui elimu akhera au uchawi lakini hii si kweli, unafikiri ingekuwaje miji hiyo ingeendelea kupewa kipaumbele kwa miundombinu na uwekezaji? Kwani Dar ilijengwa na watu tu au serikali ilianza kuijenga? Unafikiri Dar es Salaam na Bagamoyo ni mji upi ilianza kuchangamka? Leo hii hali ikoje?

Nitolee mfano mji ninaoufahamu Kigoma: Kipindi cha German East Africa ulikuwa ni mji mkubwa sana kwasababu Wajerumani waliwekeza station kubwa ya train (lilikuwa jengo kubwa kuliko station yoyote ya train Tanganyika) kwasababu waliutegemea mji huo kama kiungo na Congo, Burundi na Zambia na walikuwa na meli kubwa sana hapo S.S. Liemba, unafikiri kwa wakati huo kati ya Kigoma na Mwanza upi ulikuwa mji mkubwa? Sababu ni nini? Uwekezaji wa Mjerumani ulifanya mji uchangamke na watu walitoka sehemu mbalimbali kuja kujipatia riziki hapo.

Leo hii bandari ya Kigoma imedorola baada ya kutokupewa umuhimu na serikali, bandari inategemea reli na barabara kufikisha mizigo kutoka Dar port kwenda Zambia, Burundi na Congo. Lakini hadi leo hii barabara ya kuiunganisha Kigoma haijakamilika na reli inasuasua sana sababu haina ubora na cha ajabu zaidi reli hiyo ya kati inayojengwa sasa ya SGR ikapewa kipaumbele ya Dar - Mwanza tofauti na Dar - Kigoma! Hapo bado unatarajia mji ukue kwa juhudi za wananchi?!

Miji ya Congo kama Kalemie, Bukavu na Uvira wanategemea sana Tanzania kwa kila kitu kama chakula, mafuta, hardware n.k. Kama Kigoma ingekuwa na miundombinu mizuri kungekuwa na Viwanda vya kutosha kuilisha East Congo na mji ungetoa ajira za kutosha, bandari ingechangamka lakini kinyume chake hata umeme tu Kigoma wanatumia umeme wa generator! Alafu tunawalaumu waswahili wa ujiji na waarabu!

Hii kauli ya miji ya waswahili, mbona hatuisikii kwa Dar ya Wazaramo? Si waswahili wale? lakini mji wao kila mtu anataka kuwekeza huko. Hatakama wakazi wa mji husika ni waswahili lakini kukiwa na vyanzo vya michakato watakuja wageni kuwekeza na mji utachangamka.
Uko sahihi lakini dar si ya wazaramo kifursa maana wanahamishwa na wageni ila huko tabora,ujiji,lindi...uswahili ndio tatizo na elimu dunia ni adui yao.Lakini utandawazi utawabadilisha kilazima.
 
Back
Top Bottom