TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Kuna kademu kakipare kananichukia hadi sasa kwa sababu hii
Kaombe gemu uone katakavyofurahi na kuanza kukuchangamkia 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kademu kakipare kananichukia hadi sasa kwa sababu hii
Ndo nataka nifanye hivyo najua kanataka sema zile aibu za kike tu. Natafuta Jmosi moja nikasogeze magetoni nikapelekee moto hadi Jpili jioni nikaambie karudi kwakeKaombe gemu uone katakavyofurahi na kuanza kukuchangamkia 😀
Wapare wapuuzi kaa nao ni wabaya sana haya makitu kama unataka ujijue mjiniKaombe gemu uone katakavyofurahi na kuanza kukuchangamkia 😀
Yap hadi wanakuuaHuo upuuzi upo kwa waafrika tu.Sizani Kama wazungu wanaendekeza huo ujinga.
Kawaida kutolewa nje na kawaida kutomtolea mtu njee maana kuna anayekutongoza na unayemtongoza sasa anaweza akutose akuelewe na pia naweza kumuelewa au kumtosaKawaida kumchukia anaekutosa au kawaida kutoswa ?
Ukimuacha hata siku moja njoo unipige makofi wale ni mamafia shauri yakoNdo nataka nifanye hivyo najua kanataka sema zile aibu za kike tu. Natafuta Jmosi moja nikasogeze magetoni nikapelekee moto hadi Jpili jioni nikaambie karudi kwake
Sio kweli angalia Kim anachomfanyia Kanye.Huo upuuzi upo kwa waafrika tu.Sizani Kama wazungu wanaendekeza huo ujinga.
Wanune Tu. SiteterekiHalafu ajabu ni kwamba wake za watu ndo wana hii tabia sana!
Usiishi kibudu bila kuwa ndani ya Kristo Yesu. Watakuonea Sana.Ishanitokea kazini alikuwa ananitaka kinoma noma yaani design kama anafosi afu mi hata simuelewi nikamlia buyu, kumbe manzi yupo vizuri kwenye sayansi ya jadi ilikuwa ukisimama nchale ukikaa nchale mbona maji niliita mma