Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,649
Nimeipata hii picha ktk mjadala wa baadhi ya nchi za Africa wakishangaa hawa wadada wanafunzi pichani. (Nimeambatanisha picha)
Wachangiaji wengi walionesha kushangaa hao wadada, kusoma huku wakiwa wajawazito.
Katika mjadala wengi wao walisema "It's only South Africa" Japo kuna nchi kama Kenya wameruhusu.
Nikajisemea kumbe kuna nchi Africa hawajaruhusu wajawazito kwenda shule. Nchi kama Ethiopia.
Hawa uwa wanamisimamo haswa. Linapokuja swala la utamaduni, mila, desturi na imani hawayumbishwi.
Najiuliza tu baba wa mtoto miaka 30. Mtoto anazaliwa na kukua bila baba.
View attachment 2113277
Wachangiaji wengi walionesha kushangaa hao wadada, kusoma huku wakiwa wajawazito.
Katika mjadala wengi wao walisema "It's only South Africa" Japo kuna nchi kama Kenya wameruhusu.
Nikajisemea kumbe kuna nchi Africa hawajaruhusu wajawazito kwenda shule. Nchi kama Ethiopia.
Hawa uwa wanamisimamo haswa. Linapokuja swala la utamaduni, mila, desturi na imani hawayumbishwi.
Najiuliza tu baba wa mtoto miaka 30. Mtoto anazaliwa na kukua bila baba.
View attachment 2113277