Halafu wote hao, hakuna anayejitapa kwenye social media kwamba pesa anayo.
Sisi weusi ni matajiri wa kujitangaza mitandaoni tu.
Hizo kabila za weupe, wana utamaduni wa kushirikishana kwenye biashara. Biashara alianzisha babu, mjukuu bado ana ziendeleza kwa mafanikio.
kwetu utashirikishwa kwenye biashara baada ya baba/babu kufariki. na kabla ujaijua vizuri biashara na yenyewe inafariki.