Mbona orodha ya matajiri Tanzania, Kenya, Uganda wengi ni Waarabu na Wahindi na si waafrika weusi?

Mbona orodha ya matajiri Tanzania, Kenya, Uganda wengi ni Waarabu na Wahindi na si waafrika weusi?

Halafu wote hao, hakuna anayejitapa kwenye social media kwamba pesa anayo.
Sisi weusi ni matajiri wa kujitangaza mitandaoni tu.
Hizo kabila za weupe, wana utamaduni wa kushirikishana kwenye biashara. Biashara alianzisha babu, mjukuu bado ana ziendeleza kwa mafanikio.
kwetu utashirikishwa kwenye biashara baada ya baba/babu kufariki. na kabla ujaijua vizuri biashara na yenyewe inafariki.
Hahaha
 
Alafu kitu kingine, hata kama kwenu zipo utaambiwa katafute za kwako... Kupelekea watu Wengi kwenda kuanza maangaiko upya kujiinua, huku vya nyumbani ulivyokatazwa vikifa...

Ilitakiwa kama Baba ana mashamba makubwa watoto mkasomee kilimo cha biashara.

Kuliko unaambiwa kajitegemee, Mwishowe wote mnajazana Kariakoo
Hahaha
 
Back
Top Bottom