Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Hakuna salamu
Moja kwa moja kwenye mada, Kwani nyie wenzetu mnapata wapi pesa, mbona biashara zimekuwa ngumu sana, yaani kweli hadi kijana wa chuo kikuu yupo field kwenye taasisi moja hv eti anakwambia, Braza toa elfu 30 ya faster niipileke document yako kwa incharge akupitishie faster.
Mbona kama kila mtu amekuwa dalali, mbona kama wazee wa kumanipulate mifumo wamerudi kwa kasi sana, mbona kama kuna daraja kubwa sana kati ya wenye pesa na ambao hawana.
Mwisho; Mbona pale kariakoo sasahv watoto wanaolala nnje wamezidi sana ? Dah roho imeniuma sana yaani naamdika hii post huku nawaza sana mpaka nataka kukata tamaa.
Anyway ngoja tusubirie labda mambo yatabalidika.
Kidumu chama cha mapinduzi!
Nawasilisha
NB; Basi hapo mtu anaweza akasoma uzi wote huku akitafakari kwa makini sana ila alipoona tu nimeandika "Kidumu chama cha mapinduzi" anafikiria kudondosha bonge la tusi kwenye comment.
Moja kwa moja kwenye mada, Kwani nyie wenzetu mnapata wapi pesa, mbona biashara zimekuwa ngumu sana, yaani kweli hadi kijana wa chuo kikuu yupo field kwenye taasisi moja hv eti anakwambia, Braza toa elfu 30 ya faster niipileke document yako kwa incharge akupitishie faster.
Mbona kama kila mtu amekuwa dalali, mbona kama wazee wa kumanipulate mifumo wamerudi kwa kasi sana, mbona kama kuna daraja kubwa sana kati ya wenye pesa na ambao hawana.
Mwisho; Mbona pale kariakoo sasahv watoto wanaolala nnje wamezidi sana ? Dah roho imeniuma sana yaani naamdika hii post huku nawaza sana mpaka nataka kukata tamaa.
Anyway ngoja tusubirie labda mambo yatabalidika.
Kidumu chama cha mapinduzi!
Nawasilisha
NB; Basi hapo mtu anaweza akasoma uzi wote huku akitafakari kwa makini sana ila alipoona tu nimeandika "Kidumu chama cha mapinduzi" anafikiria kudondosha bonge la tusi kwenye comment.