Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaoneshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwanini haonyeshwi.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaoneshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwanini haonyeshwi.