Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi sijawah sikia mwananchi wa kawaida anaefanya kaz zake kwa halali anamlaumu JPM..ila ni wale wauza unga wa msoga, wapiga madeal wa miradi..wenye vyeti feki kama wewe (mana naamn huna hela wewe ndo mana unalalamika) lakini pia na wale waliozoea kubebwa bebwaa..hao ndo waliokuwa wanalalamika..
Ushakua mmama wewe sio kwa taarabu hizo!Wahi wewe mirembe maana naona bado jinamizi la jiwe linakusumbua.
Mama Samia ndiye rai wa JMT kwa sasa.
Kama hutaki basi hama nchi urudi kwenu rwanda.
Anayo sura nzuri saaaana na hastahuli kuuza SuraHapendi kuuza sura
Hakuna cha gender obstacle ni ulimbukeni tu wa uongozi,yani MTU unwongoza Nchi ambayo unajua kabisa watu wake wana abudu madhehebu tofauti tofauti na Katiba ina Sema Serikali haina dini halafu wewe unakwenda kutoa matangazo ya Serikali ndani ya nyumba ya Ibada hizo ni akili au matope??
Baraza la Iddi ni mkutano na haupo katika taratibu za dini. Yani mtu kutokuswali ni dhambi ila kutohudhuria Baraza la Iddi sio dhambi.Baraza la Iddi ni mkutano na haupo katika taratibu za dini. Yani mtu kutokuswali ni dhambi ila kutohudhuria Baraza la Iddi sio dhambi.
In short Baraza la Iddi ni tamasha tu ambalo hata asiye Muislamu anaweza kuhudhuria, siyo Ibada
Yes. Mskitini anakuwa mwanamke tu sawa na waumini wengine wanawake. Hawezi kanyaga kule kwa wamaume, atakuwa amepanajisi.Jinsia yake na hiyo dini
Je! Kama ana swali nyumbani! Huenda haendi msikitini!Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Je! Kama ana swali nyumbani! Huenda haendi msikitini!
Swala inayoruhusiwa wanawake kwenda kuswali pamoja na wanaume ni Swala ya IDDY,nayo wanawake wataswali kwa umbali furani wakiwa nyuma ya wanaume
Wanyoonge wanateseka na ugonjwa wa sonona ni haki yao.Ukishaathirika na propaganda ni ngumu Sana kufutika ubongoni hasa ukiwa mnyonge
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Hutaki kukubali kuwa mama Samia ndiyo rais wa JMT basi rudi kwenu rwandaUshakua mmama wewe sio kwa taarabu hizo!
Jiwe ndiyo muuza suraAnayo sura nzuri saaaana na hastahuli kuuza Sura
[emoji23][emoji23][emoji23]...kwa hiyo wenye sura za malimao..muda wote wanaitembeza tembeza sio?Anayo sura nzuri saaaana na hastahuli kuuza Sura
Maswali ya kitoto sana....Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.