Mbona Rais Samia akienda msikitini TV hazimuoneshi?

Mbona Rais Samia akienda msikitini TV hazimuoneshi?

Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.

Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.

Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.

Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.

Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.

Kwa nini haonyeshwi.
Una uhakika kama anaenda huko msikitini?
 
Mama hapendi kuwekwa font fend kama ilivyokuwa kwa mwendazake
 
Isssue siyo Gender tu, bali
1... Ibada ni privancy
2... Utu na mamlaka havina ukaribu.
3... mama sio mpenda ujiko na sifa zisizo kwa taifa
 
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.

Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.

Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.

Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.

Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.

Kwa nini haonyeshwi.
Unataka uone anavyoinama au?
 
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.

Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.

Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.

Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.

Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.

Kwa nini haonyeshwi.
Mkuu imeandikwa usalipo ujifungie kwenye chumba chako mwenyewe na usiwe kama watu wa mataifa wenye kujionyesha
 
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.

Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.

Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.

Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.

Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.

Kwa nini haonyeshwi.

Wanawake wanasali nyumban mkuu
 
Haitakiwi kiongozi yeyote kwenda kuhutubia Taifa akiwa kwenye nyumba yake ya ibada..

Ibada ni suala lake binafsi..

Kutoa amri na kufukuza watu wakati unahutubia kanisani sio sahihi
Nakuelewa sana The Boss
 
Komenti ya #14 watu wanazunguka mbaliiii hawataKi kugusa penye shida...
Kwa imani ya mama hawezi kukaa mbele ya wanaume inabidi awe nyuma yao, kwa cheo cha mama protokali za kiusalama mtu hatakiwi kukatiza mbele yake hivi hivi.....
Kwa mkanganyiko huu inabidi kamera ziwe off, ila ipo siku majibu yatapatikana likiwemo la Baba yetu kutoambana naye mara nyingi kama yalivyo "mazoea" yetu!
Ibada njema!
Leta picha ya Kikwete akiwa msikitini ana sali kama mantiki ya jibu lako imeegemea kijinsia.Ibada ni muunganiko wa mtu na Mwenyezi Mungu wake sio kujionesha.
 
Unaweza kukuta hata msikitini kwenyewe haendagi 🤷
 
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.

Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.

Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.

Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.

Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.

Kwa nini haonyeshwi.

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Komenti ya #14 watu wanazunguka mbaliiii hawataKi kugusa penye shida...
Kwa imani ya mama hawezi kukaa mbele ya wanaume inabidi awe nyuma yao, kwa cheo cha mama protokali za kiusalama mtu hatakiwi kukatiza mbele yake hivi hivi.....
Kwa mkanganyiko huu inabidi kamera ziwe off, ila ipo siku majibu yatapatikana likiwemo la Baba yetu kutoambana naye mara nyingi kama yalivyo "mazoea" yetu!
Ibada njema!
Wai chatttle mkamfufue mungu wenu
 
Tulizoea mtu akifika ibadani lazima ahutubie
Ila siku zinaenda kasi sana,tumehasi kuona tena
 
Back
Top Bottom