- Thread starter
- #61
Kwani akisujudu tutaona ninj?Watu mnapenda kumuona Mama akisujudu sio lengo lenu mnataka kuona nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani akisujudu tutaona ninj?Watu mnapenda kumuona Mama akisujudu sio lengo lenu mnataka kuona nini?
Wasubirie wapate mwingine mwenye mawazo ya kijamaaWanyoonge wanateseka na ugonjwa wa sonona ni haki yao.
Una uhakika kama anaenda huko msikitini?Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
NdiyoUna uhakika kama anaenda huko msikitini?
Labda baada ya miaka 100Wasubirie wapate mwingine mwenye mawazo ya kijamaa
We kenge unampangia Mungu.Labda baada ya miaka 100
Unataka uone anavyoinama au?Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Mkuu imeandikwa usalipo ujifungie kwenye chumba chako mwenyewe na usiwe kama watu wa mataifa wenye kujionyeshaTumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Kama lipi?Anapenda balaa, tantalila kibao, ila yeye yote anayoagiza anachemka na hayatekelezwi
Jana kazuia mpira wa Simba na Yanga,ili auze sura,haonyeshe jinsi anavyompatia mzee Mwinyi Benzi ya shiling 450😁😄😄😁Mama Samia hana tabia za kupenda kuuza sura
Nakuelewa sana The BossHaitakiwi kiongozi yeyote kwenda kuhutubia Taifa akiwa kwenye nyumba yake ya ibada..
Ibada ni suala lake binafsi..
Kutoa amri na kufukuza watu wakati unahutubia kanisani sio sahihi
Leta picha ya Kikwete akiwa msikitini ana sali kama mantiki ya jibu lako imeegemea kijinsia.Ibada ni muunganiko wa mtu na Mwenyezi Mungu wake sio kujionesha.Komenti ya #14 watu wanazunguka mbaliiii hawataKi kugusa penye shida...
Kwa imani ya mama hawezi kukaa mbele ya wanaume inabidi awe nyuma yao, kwa cheo cha mama protokali za kiusalama mtu hatakiwi kukatiza mbele yake hivi hivi.....
Kwa mkanganyiko huu inabidi kamera ziwe off, ila ipo siku majibu yatapatikana likiwemo la Baba yetu kutoambana naye mara nyingi kama yalivyo "mazoea" yetu!
Ibada njema!
Kuna tofauti kati ya swla na Sala! Samia ana swali swala na Magufuli alikuwa anasali sala.Nimeuliza sala za msikitini na si za nyumbani ambazo hata Magufuli alizisali bila kufuatwa na camera.
Tumeshazoea mtindo wa viongozi kuonyeshwa kwenye TV na vyombo vingine wakiwa kwenye ibada.
Magufuli alionekana na hata mara ya mwisho ilikuwa ni St. Peter.
Kassima Majaliwa alionyeshwa akiwa msikitini na akatuambia Rais Magufuli yuko mzima haumwi chochote anachapa kazi.
Philip Mpango naye alipoenda kanisani juzijuzi naye kama kawaida tukaonyeshwa.
Samia Suluhu sijaona hata siku moja akionyeshwa akiwa anasali msikitini.
Kwa nini haonyeshwi.
Wai chatttle mkamfufue mungu wenuKomenti ya #14 watu wanazunguka mbaliiii hawataKi kugusa penye shida...
Kwa imani ya mama hawezi kukaa mbele ya wanaume inabidi awe nyuma yao, kwa cheo cha mama protokali za kiusalama mtu hatakiwi kukatiza mbele yake hivi hivi.....
Kwa mkanganyiko huu inabidi kamera ziwe off, ila ipo siku majibu yatapatikana likiwemo la Baba yetu kutoambana naye mara nyingi kama yalivyo "mazoea" yetu!
Ibada njema!