Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hakuna cha gender obstacle ni ulimbukeni tu wa uongozi,yani MTU unwongoza Nchi ambayo unajua kabisa watu wake wana abudu madhehebu tofauti tofauti na Katiba ina Sema Serikali haina dini halafu wewe unakwenda kutoa matangazo ya Serikali ndani ya nyumba ya Ibada hizo ni akili au matope??Usiingilie ibada za watu na taratibu zao. Gender obstacle. Nafikiri umeelewa.
Hakuna cha gender obstacle ni ulimbukeni tu wa uongozi,yani MTU unwongoza Nchi ambayo unajua kabisa watu wake wana abudu madhehebu tofauti tofauti na Katiba ina Sema Serikali haina dini halafu wewe unakwenda kutoa matangazo ya Serikali ndani ya nyumba ya Ibada hizo ni akili au matope??
Hakuna cha gender obstacle ni ulimbukeni tu wa uongozi,yani MTU unwongoza Nchi ambayo unajua kabisa watu wake wana abudu madhehebu tofauti tofauti na Katiba ina Sema Serikali haina dini halafu wewe unakwenda kutoa matangazo ya Serikali ndani ya nyumba ya Ibada hizo ni akili au matope??
Kwani mungu wenu kila alilokua anaagiza lilikua linatekelezwa?Anapenda balaa, tantalila kibao, ila yeye yote anayoagiza anachemka na hayatekelezwi
Nani kasema Mungu sasa mbn unakurupuka sanaKwani mungu wenu kila alilokua anaagiza lilikua linatekelezwa?
Weka akiba ya maneno ndugu, subiria baraza la idd utakuja kuleta mrejesho.Hakuna cha gender obstacle ni ulimbukeni tu wa uongozi,yani MTU unwongoza Nchi ambayo unajua kabisa watu wake wana abudu madhehebu tofauti tofauti na Katiba ina Sema Serikali haina dini halafu wewe unakwenda kutoa matangazo ya Serikali ndani ya nyumba ya Ibada hizo ni akili au matope??
Hivi Kikwete alikuwa anaswali?Haahaa, mbona kikwete yulikuwa hatuonyeshwi?
Ukishaathirika na propaganda ni ngumu Sana kufutika ubongoni hasa ukiwa mnyongeNaona bado una mahaba na jiwe, kama vipi kunywa sumu nawe umfuate huko aliko
Siyo kila udwanzi aliokuwa akifanya mwendazake mama aige,anaenda church kuwasimanga wananchi utadhan watoto wake vile,lawama kila siku,sasa alikuwa anaenda for prayers au kudanga
Haahaa, mbona kikwete yulikuwa hatuonyeshwi?
Umewahi kuingia Msikitini sehemu ya wanawake?Komenti ya #14 watu wanazunguka mbaliiii hawataKi kugusa penye shida...
Kwa imani ya mama hawezi kukaa mbele ya wanaume inabidi awe nyuma yao, kwa cheo cha mama protokali za kiusalama mtu hatakiwi kukatiza mbele yake hivi hivi.....
Kwa mkanganyiko huu inabidi kamera ziwe off, ila ipo siku majibu yatapatikana likiwemo la Baba yetu kutoambana naye mara nyingi kama yalivyo "mazoea" yetu!
Ibada njema!
Binafsi sijawah sikia mwananchi wa kawaida anaefanya kaz zake kwa halali anamlaumu JPM..ila ni wale wauza unga wa msoga, wapiga madeal wa miradi..wenye vyeti feki kama wewe (mana naamn huna hela wewe ndo mana unalalamika) lakini pia na wale waliozoea kubebwa bebwaa..hao ndo waliokuwa wanalalamika..Siyo kila udwanzi aliokuwa akifanya mwendazake mama aige,anaenda church kuwasimanga wananchi utadhan watoto wake vile,lawama kila siku,sasa alikuwa anaenda for prayers au kudanga
Mtoa mada kauliza kuhusu picha tu wala sio hotubaHaitakiwi kiongozi yeyote kwenda kuhutubia Taifa akiwa kwenye nyumba yake ya ibada..
Ibada ni suala lake binafsi..
Kutoa amri na kufukuza watu wakati unahutubia kanisani sio sahihi
Baraza la Iddi ni mkutano na haupo katika taratibu za dini. Yani mtu kutokuswali ni dhambi ila kutohudhuria Baraza la Iddi sio dhambi.Nchi (SERIKALI) yetu haina dini. Ila watu wake (RAIA) wa dini zao. Rais kama Raia no. 1 analijua hilo, kuonekana au kutoonekana kwenye TV ni utashi wake binafsi kwa mujibu wa IMANI YA DINI YAKE