Wananchi wanateseka hasa akina Mama machinga kama wauza barafu, saluni, vinywaji baridi nk.
Tuliaminishwa kuwa tatizo la umeme litapungua sana katika muda wa wiki mbili lakini haya yamekuwa ni maneno tu huku wananchi wakiteseka sana.
Umeme unakatika saa moja asubuhi na unarudi saa moja usiku hapa kuna biashara gani itafanyika. Tunawaona wakubwa wanavyokula raha.
Misafara ya magari ndo usiseme. Sasa hii ni nchi gani ambapo kila kukicha wananchi wanapata taabu.
Tuliaminishwa kuwa tatizo la umeme litapungua sana katika muda wa wiki mbili lakini haya yamekuwa ni maneno tu huku wananchi wakiteseka sana.
Umeme unakatika saa moja asubuhi na unarudi saa moja usiku hapa kuna biashara gani itafanyika. Tunawaona wakubwa wanavyokula raha.
Misafara ya magari ndo usiseme. Sasa hii ni nchi gani ambapo kila kukicha wananchi wanapata taabu.