Mbona siku kampuni za vinywaji hamtuwekei zawadi za chini ya kizibo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
zama za usiombe kukutwa na bwana pepsi tumezimiss..siku hizi hata bia hazikai mwezi kiwandani means watu tunakunywa sana sasa kweli mnashindwa kubuni namna ya kurudisha faida kwa jamii kwa kutuweke ka mchezo cha kusaka bonus..muhindi anatukula kwenye betting ilipaswa kidogo mtufariji kwa kutuwekea zawadi za 5000,10000,30000,free bia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…