Mbona sipati wateja kwenye tovuti yangu ya Elimu (course website)

Mbona sipati wateja kwenye tovuti yangu ya Elimu (course website)

Screenshot_20240505-132735.png
 
Nilishafanya people Zina click tu lakini sioni chochote. Nimeshachange Mara kadhaa from ya kuuza tu ya free lakini bado naona mapicha picha
Wabongo wanapenda sana intertainment kuliko educational issues so inabidi uumize kichwa app yako iwe mixed education vs intertainment at the same time hapo kidogo italeta attention kwa viewers maana hata hao wanafunzi wenyewe unaowatarget wako busy kufuatilia habari za Diamond na Zuchu shida ndio inaanzia hapo.
 
Hizi taarifa ulizoweka hapa ni sahiiNatarajia

Wabongo wanapenda sana intertainment kuliko educational issues so inabidi uumize kichwa app yako iwe mixed education vs intertainment at the same time hapo kidogo italeta attention kwa viewers maana hata hao wanafunzi wenyewe unaowatarget wako busy kufuatilia habari za Diamond na Zuchu shida ndio inaanzia hapo.
Kiongozi umenena
 
Habari,
Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli. Ningependa kupata mawaidha kutoka kwenu ya nifanyeje ili nianze Pata mauzo.
unatumia njia gani kutafuta wateja?
 
App yako inamapungufu mengi sana . Msiwe mnakimbilia kuziweka public app bila ya kushirikisha wafu wa karibu yako wakupe mtazamo .. ni aina ya app mtu akidowload baada ya dakika 5 za matumizi anaifuta..

Shirikisha watu wakupe maoni namna ya kurekebisha vitu au Lah..
Umesema inahusu kujifunza kiswahili bado tena unaweka vitabu unauza..

Target yako ni pesa Kabla ya hata hatujajua mlazi atapenda chakula au lah

Fanya marekebisho kisha rudi tena
 
Kijana nikushauri vitu vichache kutokana na uzoefu mdogo ambao nimeupata kwa ku_run project yangu mwenyewe kwa miezi 7 saba sasa baada ya kuacha ajira.
1. Umetengeneza nini kwa ajili ya nani? Hilo ni swali la kwanza lisitoke kwenye akili yako kila unapofanya improvement ya product yako, pia hilo litakusaidia kujua content gani uweke, na upromote kwa wateja wa aina gani, zingatia kuwa sio kila mtu anaweza kuwa mteja wako so choose your niche.
2. Don't build it for money, tengeneza product inayoleta thamani kwa mteja, ukiona wateja wametumia free trial ikaisha then wakaachana na app yako hii ikupe alert kuwa hawajaona value ya kile ambacho unatoa (Yaani thamani ya unachotoa ni ndogo kuliko thamani ya pesa yake). Hivyo, jitahidi kutengeneza bidhaa yenye thamani then wateja watakuwa tayari kulipia

3. Simplicity, Inaweza kuwa ni app nzuri, ina contents nzuri lakini kama inakosa kumfanya mtumiaji aone urahisi wa kuitumia fahamu kuwa mtumiaji huyo hawezi kudumu.

4. Utofauti, Yaani mimi nikiingia kwa app yako nitapata kitu gani ambacho hakipo kwa app nyingine ambayo inatoa the same kind of service?

5. UVUMILIVU usikimbilie pesa, focus kwenye kutengeneza bidhaa bora nimeangalia play store inaonyesha umepublish app yako Mar 15, 2024, then hakuna any updates imefanyika mimi binafsi najiuliza first version ya app yako haijawa na dosari yoyote au any customization from March to May? kwa kuwa siamini kama first version inaweza kuwa stable na kukosa updates za muhimu/customization ambazo wateja wamekushauri. Hivyo wekeza muda kwenye kutafuta feedback zza wateja ambao waliitumia na kuacha ujue kwa nini wameacha kuitumia app yako, wanataka nini kiboreshwe, au waulize walipo install walitarajia kupata nini na matarajio yao hayakufikiwa. Hayo yote ni muhimu sana kwenye kuboresha product yako.

Huo ni ushauri binafsi kulingana na uzoefu mdogo ambao nimeupata kwa kusimamia project ya app yangu mwenyewe baada ya kuacha kazi, hivyo unaweza kuchanganya na akili zako kuona ni wapi uboreshe.
Ahsante nmeokota madini
 
App yako inamapungufu mengi sana . Msiwe mnakimbilia kuziweka public app bila ya kushirikisha wafu wa karibu yako wakupe mtazamo .. ni aina ya app mtu akidowload baada ya dakika 5 za matumizi anaifuta..

Shirikisha watu wakupe maoni namna ya kurekebisha vitu au Lah..
Umesema inahusu kujifunza kiswahili bado tena unaweka vitabu unauza..

Target yako ni pesa Kabla ya hata hatujajua mlazi atapenda chakula au lah

Fanya marekebisho kisha rudi tena
Vitabu vyenyewe ni lazima kuviweka maana vina part ya kujifunza. Point yako ni kwamba ingependeza vikiwa bure au, alafu ukumbuke kitu cha bure huwa kinapuuziwa sana, bora hata mtu akinunua anaweza weka userious
 
Vitabu vyenyewe ni lazima kuviweka maana vina part ya kujifunza. Point yako ni kwamba ingependeza vikiwa bure au, alafu ukumbuke kitu cha bure huwa kinapuuziwa sana, bora hata mtu akinunua anaweza weka userious
Tatizo sio kuuza vitabu, maudhui ya app haiendani na kilichomo..
Badala ya kujikita kuiboresha app iwe ni used friendly amejikuta kwenye pesa kwanza.. download hiyo app playstore kisha uone hata wewe .
Nimedownload hiyo app nimetoa maoni kama mtumiaji na mfutiaji wa app mbalimbali

Aboreshe app ashirikishe watu wengine wampe mawazo kabla haijaweka pubic kuliko aipigie promo mtu a download kisha akute sio nzuri na kuifuta
 
Back
Top Bottom