Last_Born
Member
- Dec 9, 2022
- 69
- 100
Vijana wavivu kweliVijana now days wanapemda mambo fasta fasta..sasa imagine 6months?? 😂😂😂.
Nacheka ila inasikitisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wavivu kweliVijana now days wanapemda mambo fasta fasta..sasa imagine 6months?? 😂😂😂.
Nacheka ila inasikitisha sana
Kijana anatuchanganya sana.Huendi mbinguni
Template inahitaji update!Hizi taarifa ulizoweka hapa ni sahii?View attachment 2986028
Wabongo wanapenda sana intertainment kuliko educational issues so inabidi uumize kichwa app yako iwe mixed education vs intertainment at the same time hapo kidogo italeta attention kwa viewers maana hata hao wanafunzi wenyewe unaowatarget wako busy kufuatilia habari za Diamond na Zuchu shida ndio inaanzia hapo.Nilishafanya people Zina click tu lakini sioni chochote. Nimeshachange Mara kadhaa from ya kuuza tu ya free lakini bado naona mapicha picha
All fieldsMimi mteja wako una offer course gani 😊😊
Ndio boss, Instagram nilikosa users totally. Lakini influencer nilipata 600 installsUlitangazia platform gani? Usiniambie Instagram.
Don't give the shit up, take a cup of coffee, seat down and think of it again and again. A real men never lamentApp tayari, inaitwa Swahili Sphere. Nilijaribu influencer mmoja akapromote lakini majibu hayakuwa mazuri. Naona kama wabongo hawapendi kujifunza.
Naona kuna watu wanacheka ila Watanzania tuna safari ndefu sanaHizi taarifa ulizoweka hapa ni sahii?View attachment 2986028
Hizi taarifa ulizoweka hapa ni sahiiNatarajia
Kiongozi umenenaWabongo wanapenda sana intertainment kuliko educational issues so inabidi uumize kichwa app yako iwe mixed education vs intertainment at the same time hapo kidogo italeta attention kwa viewers maana hata hao wanafunzi wenyewe unaowatarget wako busy kufuatilia habari za Diamond na Zuchu shida ndio inaanzia hapo.
unatumia njia gani kutafuta wateja?Habari,
Nilikua na idea ya kutengeneza tovuti kama udemy au skillshare lakini yenyewe ijikite kwenye kufundisha kwa lugha ya kiswahili. Nimefanikiwa kutegeneza, lakini wateja ndo shughuli. Ningependa kupata mawaidha kutoka kwenu ya nifanyeje ili nianze Pata mauzo.
Ahsante nmeokota madiniKijana nikushauri vitu vichache kutokana na uzoefu mdogo ambao nimeupata kwa ku_run project yangu mwenyewe kwa miezi 7 saba sasa baada ya kuacha ajira.
1. Umetengeneza nini kwa ajili ya nani? Hilo ni swali la kwanza lisitoke kwenye akili yako kila unapofanya improvement ya product yako, pia hilo litakusaidia kujua content gani uweke, na upromote kwa wateja wa aina gani, zingatia kuwa sio kila mtu anaweza kuwa mteja wako so choose your niche.
2. Don't build it for money, tengeneza product inayoleta thamani kwa mteja, ukiona wateja wametumia free trial ikaisha then wakaachana na app yako hii ikupe alert kuwa hawajaona value ya kile ambacho unatoa (Yaani thamani ya unachotoa ni ndogo kuliko thamani ya pesa yake). Hivyo, jitahidi kutengeneza bidhaa yenye thamani then wateja watakuwa tayari kulipia
3. Simplicity, Inaweza kuwa ni app nzuri, ina contents nzuri lakini kama inakosa kumfanya mtumiaji aone urahisi wa kuitumia fahamu kuwa mtumiaji huyo hawezi kudumu.
4. Utofauti, Yaani mimi nikiingia kwa app yako nitapata kitu gani ambacho hakipo kwa app nyingine ambayo inatoa the same kind of service?
5. UVUMILIVU usikimbilie pesa, focus kwenye kutengeneza bidhaa bora nimeangalia play store inaonyesha umepublish app yako Mar 15, 2024, then hakuna any updates imefanyika mimi binafsi najiuliza first version ya app yako haijawa na dosari yoyote au any customization from March to May? kwa kuwa siamini kama first version inaweza kuwa stable na kukosa updates za muhimu/customization ambazo wateja wamekushauri. Hivyo wekeza muda kwenye kutafuta feedback zza wateja ambao waliitumia na kuacha ujue kwa nini wameacha kuitumia app yako, wanataka nini kiboreshwe, au waulize walipo install walitarajia kupata nini na matarajio yao hayakufikiwa. Hayo yote ni muhimu sana kwenye kuboresha product yako.
Huo ni ushauri binafsi kulingana na uzoefu mdogo ambao nimeupata kwa kusimamia project ya app yangu mwenyewe baada ya kuacha kazi, hivyo unaweza kuchanganya na akili zako kuona ni wapi uboreshe.
Mbona hajibu chochote 🤣Hizi taarifa ulizoweka hapa ni sahii?View attachment 2986028
Vitabu vyenyewe ni lazima kuviweka maana vina part ya kujifunza. Point yako ni kwamba ingependeza vikiwa bure au, alafu ukumbuke kitu cha bure huwa kinapuuziwa sana, bora hata mtu akinunua anaweza weka useriousApp yako inamapungufu mengi sana . Msiwe mnakimbilia kuziweka public app bila ya kushirikisha wafu wa karibu yako wakupe mtazamo .. ni aina ya app mtu akidowload baada ya dakika 5 za matumizi anaifuta..
Shirikisha watu wakupe maoni namna ya kurekebisha vitu au Lah..
Umesema inahusu kujifunza kiswahili bado tena unaweka vitabu unauza..
Target yako ni pesa Kabla ya hata hatujajua mlazi atapenda chakula au lah
Fanya marekebisho kisha rudi tena
Insta na influencer lakini sioni matokeounatumia njia gani kutafuta wateja?
Tatizo sio kuuza vitabu, maudhui ya app haiendani na kilichomo..Vitabu vyenyewe ni lazima kuviweka maana vina part ya kujifunza. Point yako ni kwamba ingependeza vikiwa bure au, alafu ukumbuke kitu cha bure huwa kinapuuziwa sana, bora hata mtu akinunua anaweza weka userious