Pre GE2025 Mbona Tundu Lissu hatumuoni kwenye mikutano ya Mwenyekiti Mbowe?

Pre GE2025 Mbona Tundu Lissu hatumuoni kwenye mikutano ya Mwenyekiti Mbowe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kikwava

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
1,741
Reaction score
1,068
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.

chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"

Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?

Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.

After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
 
Mmezoea kwa kunyonga ishieni kwa Msigwa Mzee wa hoja mfu na kulamba asali.
 
Na wewe uwage unaelewa 🐼
Tunajua hawawezi wakakaa pamoja kwenye chopper 🤣 amemtelekeza Mbowe amemwacha anachagua wenyeviti wa mkoa kwa kuwambia watu wanyoshe vidole ahesabu🤣
 
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Umeandika ujinga wa hali ya juu
 
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Ukimuona zile tozo za LUKU walizo ongeza leo zitashuka? Hii nchi narudia kusema tena na tena, imejaaa wajinga wengi sana, ina idadi kubwa sana ya wajinga.
 
20240606_133022.jpg
 
Yaani mijinga ya CCM huwa mnanifurahisha sana,kazi yenu kuponda CHADEMA na viongozi wake,kumbe mnatamani wangekuwa wanachama wa CCM.
Wakija huko mnafurahi balaa.
Huko chadema kunawaka Moto hakuna maelewano, kiti kinalindwa
 
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Punguza Ushauri.
 
Back
Top Bottom