SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Chama Cha Majuha CCMLisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama Cha Majuha CCMLisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
Mmezoea kwa kunyonga ishieni kwa Msigwa Mzee wa hoja mfu na kulamba asali.
Yuko CCM, amejiunga CCM, is this OK for you? Unatafuta hilo? Umelipata jibu.Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Mmmmh Ndugu, Suala la Kukata Moto anapanga Muumba .Clinic gani haziishi. Au anataka kukata moto
Unampangia ?.Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Ondoa pumba kichwani Fala wewe. Siasa zinakufanya ujione umefika Hadi unakejeli Afya ya Mtu?Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Kazira asije akafia field bureChadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
huyu ni kilema ktk ubongo achana naeLisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
ungeuliza tu, mbona mbowe hatukumwona akihamasisha kuchangia pesa za gari?Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Mbowe alishakula hela za join the chain pekee yake akamwachia na mwenzake ale hela za kununulia gari ingawa hazijatosha amekimbia nchiniungeuliza tu, mbona mbowe hatukumwona akihamasisha kuchangia pesa za gari?
pia, mbona Tundu Lisu hatumwoni akitoa hata pole tu mwenzake sativa kupigwa risasi? ina maana hajaona? vijana tafuteni pesa, siasa inaweza kukufanya uugue ugonjwa wa moyo. angalieni future zenu.
Kungekuwa na clinic kikwete angeenda kutibiwa tezi dume marekani?Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee wa ccm ndio huwa wanaendekeza hizi propaganda mfu.Huko chadema kunawaka Moto hakuna maelewano, kiti kinalindwa
Hamna Clinic wewe sema kagongewa viza ingine kawaacha tena kwenye mataa.Lisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
Sawa Babu jiii.Hamna Clinic wewe sema kagongewa viza ingine kawaacha tena kwenye mataa.
Atarudi tena kuwazingua manyumbu uchaguzi ukifika.
Upokeeni ukweli kuwa hali ya chadema kwasasa ni mbaya Yani Ni Kama wameachiana kazi za chama, Lissu yupo Singida mbowe hatujui yupo wap leo mbowe yupo Kasikazini hatujui Lissu yupo wap,Ww utakuwa ni mzee lazima, maana wazee wa ccm ndio huwa wanaendekeza hizi propaganda mfu.