Pre GE2025 Mbona Tundu Lissu hatumuoni kwenye mikutano ya Mwenyekiti Mbowe?

Pre GE2025 Mbona Tundu Lissu hatumuoni kwenye mikutano ya Mwenyekiti Mbowe?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Screenshot_20240617_095426_Gallery.jpg
 
Upokeeni ukweli kuwa hali ya chadema kwasasa ni mbaya Yani Ni Kama wameachiana kazi za chama, Lissu yupo Singida mbowe hatujui yupo wap leo mbowe yupo Kasikazini hatujui Lissu yupo wap,
Ujue alipo Lisu ww ni mchepuko wake?
 
Mbowe alishakula hela za join the chain pekee yake akamwachia na mwenzake ale hela za kununulia gari ingawa hazijatosha amekimbia nchini
kwahiyo unataka kusema ile michango ilikuwa ya nauli ya kwenda ubelgiji? hivi huko hata x haipo kwamba aone kuna mwenzake mwingine kapigwa risasi huku ili walao asikitike pamoja naye? unajua walioponea chupuchupu ya aina hii nchi hii ni wawili tu, tundu lisu na sativa, sasa tundu kakaa kimya, au analamba asali?
 
kwahiyo unataka kusema ile michango iailikuwa ya nauli ya kwenda ubelgiji? hivi huko hata x haipo kwamba aone kuna mwenzake mwingine kapigwa risasi huku ili walao asikitike pamoja naye? unajua walioponea chupuchupu ya aina hii nchi hii ni wawili tu, tundu lisu na sativa, sasa tundu kakaa kimya, au analamba asali?
Wanawindana mkuu kila mtu anafanya siasa alikozaliwa wa sngda Ni singdan na wa Arusha Ni arushan, lissu atahama soon kwann akimbie chopper ya Mbowe
 
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.

chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"

Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?

Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.

After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Huo ni mtazamo wako ndg.
 
Chadema wana ratiba zao,na yawezekana wamepeana majukumu tofauti katika vipindi tofauti.
Kama una shauku ya kujua kuna nini Chadema waulize makada au viongozi walio maeneo ulipo au labda vist their website.
 
Chadema wana ratiba zao,na yawezekana wamepeana majukumu tofauti katika vipindi tofauti.
Kama una shauku ya kujua kuna nini Chadema waulize makada au viongozi walio maeneo ulipo au labda vist their website.
Hapana hawawezi kukaa meza moja hawa
 
Clinic gani haziishi. Au anataka kukata moto
Amerudi amechangisha watu hela amechangisha watu hela then ameenda kupumzika kuzipga akirudia Tena ataanzisha donation nyngne
 
Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.

chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"

Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?

Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.

After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Baba yako aliuza nguruwe akapeleka nguruwe mwingine shule!!
 
Lisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.

Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
Hawajapata madaraka wanatibiwa nje ya nchi wakipata madaraka itakuwaje .. watanzania wasome alama za nyakati tusiingie hiki kichaka cha wahuni wanaitwa chadema
 
Kwa hiyo tumefikia kuhojiana machaguo ya tukatibiwe wapi kwa hela binafsi??
Tatzo amechangisha watu hela na hatujui zpo wapi maana hazjatosha kununulia garu, Basi atwambie Kama ameamua kubadilisha matumizi ya hzo hela
 
Back
Top Bottom