OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujue alipo Lisu ww ni mchepuko wake?Upokeeni ukweli kuwa hali ya chadema kwasasa ni mbaya Yani Ni Kama wameachiana kazi za chama, Lissu yupo Singida mbowe hatujui yupo wap leo mbowe yupo Kasikazini hatujui Lissu yupo wap,
kwahiyo unataka kusema ile michango ilikuwa ya nauli ya kwenda ubelgiji? hivi huko hata x haipo kwamba aone kuna mwenzake mwingine kapigwa risasi huku ili walao asikitike pamoja naye? unajua walioponea chupuchupu ya aina hii nchi hii ni wawili tu, tundu lisu na sativa, sasa tundu kakaa kimya, au analamba asali?Mbowe alishakula hela za join the chain pekee yake akamwachia na mwenzake ale hela za kununulia gari ingawa hazijatosha amekimbia nchini
Wanawindana mkuu kila mtu anafanya siasa alikozaliwa wa sngda Ni singdan na wa Arusha Ni arushan, lissu atahama soon kwann akimbie chopper ya Mbowekwahiyo unataka kusema ile michango iailikuwa ya nauli ya kwenda ubelgiji? hivi huko hata x haipo kwamba aone kuna mwenzake mwingine kapigwa risasi huku ili walao asikitike pamoja naye? unajua walioponea chupuchupu ya aina hii nchi hii ni wawili tu, tundu lisu na sativa, sasa tundu kakaa kimya, au analamba asali?
Usiwe mpumbavu kuropokaropoka tu.Huko chadema kunawaka Moto hakuna maelewano, kiti kinalindwa
Huo ni mtazamo wako ndg.Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Hapana hawawezi kukaa meza moja hawaChadema wana ratiba zao,na yawezekana wamepeana majukumu tofauti katika vipindi tofauti.
Kama una shauku ya kujua kuna nini Chadema waulize makada au viongozi walio maeneo ulipo au labda vist their website.
Baba yako aliuza nguruwe akapeleka nguruwe mwingine shule!!Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini.
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nini".
Hawajapata madaraka wanatibiwa nje ya nchi wakipata madaraka itakuwaje .. watanzania wasome alama za nyakati tusiingie hiki kichaka cha wahuni wanaitwa chademaLisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.
Hizi za hapa ni za mbwa kule ulaya!Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Bila kushirikuana au kujenga ummoja ndani ya chama sio ishara nzuri kisiasa.Hapana hawawezi kukaa meza moja hawa
Kwa hiyo tumefikia kuhojiana machaguo ya tukatibiwe wapi kwa hela binafsi??Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti