Quality v/s QuantityKwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Na wewe uwage unaelewa 🐼Kwani hapa nchn hakuna clinic? Au Amemkimbia mwenyekiti
Umeandika ujinga wa hali ya juuChadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Wakikimbia wote wewe unawashwa na nini? Akili fupi sana hiiWatawakimbia wote
Jiwe alisema ataiua Chadema akaishia kufa yeyeChadema is no more man
Ukimuona zile tozo za LUKU walizo ongeza leo zitashuka? Hii nchi narudia kusema tena na tena, imejaaa wajinga wengi sana, ina idadi kubwa sana ya wajinga.Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Punguza Ushauri.Chadema walikuja kwa madaha wakidai kuwa "Sasa Mbowe na Lissu watapanda Chopper moja na kwenda kufanya mikutano Kanda ya Kasikazini
chaajabu mpaka Sasa ni wiki inakata Lissu haonekani Singida Wala Tanga"
Vipi au mitifuano ndani ya chama Inaendelea?
Nitumie fursa hii kumshauri ndugu Lissu kuwa ahame chadema ahamie CCM, huko chadema anapoteza muda.
After all; Wananchi washamkataa Lissu ndo maana anachangisha watu michango hawataki kumchangia ajue Muda wa siasa zamaneno umepita, watu wanataka siasa za "umefanya nn unategemea kufanya nn"
Clinic gani haziishi. Au anataka kukata motoLisu yupo nje ya nchi kwa Clinic.
Jaribu kujenga hoja zenye mashiko.